We Km toka lini upo simba chura wa jangwaniNi hujumaaa
Msimu wa ligue unaokuja hatutaleta team uwanjan hakuna fair compétition mnaleta wachezaji toka Newcastle uko ulaya mara rayo valacano wakat wenzenu tunasajili wakina kyombo walio toka kuishusha team daraja
Yanga mtafute ligi yenu huu uwonevu ndio maana mnamaliza ligi bila kufungwa
Ndugu zangu Wana Simba lazima tuongee hili .....haiwezekani tuna mtoa Morrison ( caterpillar) alafu tunaleta kyombo (baiskeli) Kitu ambacho tunajiuliza Kama Simba Kuna experts wa mambo ya mpira
Mark my words.....mwisho wa msimu ujao tutaanza kupigana kucheza play off......suluhisho ni kuikacha ligue kwa muda
View attachment 2285961
[emoji23][emoji23]Wewe umefanya makubwa yapi?kama hiyo robo final ya CAF na Shirikisho Mimi nilishafika. Au makubwa unayozungumzia ndio haya...View attachment 2286115
Yanga aliibeba Simba? [emoji15][emoji15]Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Yuko wapi huyo Saido?Hata Saido mlitoa kauli hizi hizi,oh mara mstaafu amekaa miaka miwili hana team. Kwa hiyo tushawazoea.
Takbiiiir Takbiiiir TakbiiiirMwamedi atawaletea
Samata Ni mzigo?. Umeanza lini kuujua mpira?Ni kama Samata tu ,kacheza Genk ,Aston Villa ,fernabache ,Royal Antwerp lakini sasa hivi ukisema arudi kwenye vilabu vya bongo ana maajabu gani wakati hata kwa taifa stars tu ni mzigo
Subiri atawaonyesha....Mtu alistaafu mpira zamani akaanza kubeba box mnamsumbua tu kumleta tena uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2286129
Shida ni kuwa tunawaonea huruma wazee wa fair competition.....pumzi ikianza kukataMnashindana na simba halafu simba yenyewe haina habari sijaona timu yenye punguani kama yanga league wameshinda wao ila ndo wanaongoza kwa kulalamika kila kitu wanajiona wanastahili wao na wamewapata mazuzu wanakubali kila kitu wanachoambiwa.