Simba: Kwa sajili hizi, msimu ujao tusiingize timu uwanjani

Simba: Kwa sajili hizi, msimu ujao tusiingize timu uwanjani

Ni hujumaaa

Msimu wa ligue unaokuja hatutaleta team uwanjan hakuna fair compétition mnaleta wachezaji toka Newcastle uko ulaya mara rayo valacano wakat wenzenu tunasajili wakina kyombo walio toka kuishusha team daraja
Yanga mtafute ligi yenu huu uwonevu ndio maana mnamaliza ligi bila kufungwa

Ndugu zangu Wana Simba lazima tuongee hili .....haiwezekani tuna mtoa Morrison ( caterpillar) alafu tunaleta kyombo (baiskeli) Kitu ambacho tunajiuliza Kama Simba Kuna experts wa mambo ya mpira

Mark my words.....mwisho wa msimu ujao tutaanza kupigana kucheza play off......suluhisho ni kuikacha ligue kwa muda
View attachment 2285961
We Km toka lini upo simba chura wa jangwani
 
Mnashindana na simba halafu simba yenyewe haina habari sijaona timu yenye punguani kama yanga league wameshinda wao ila ndo wanaongoza kwa kulalamika kila kitu wanajiona wanastahili wao na wamewapata mazuzu wanakubali kila kitu wanachoambiwa.
 
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Yanga aliibeba Simba? [emoji15][emoji15]
 
Ni kama Samata tu ,kacheza Genk ,Aston Villa ,fernabache ,Royal Antwerp lakini sasa hivi ukisema arudi kwenye vilabu vya bongo ana maajabu gani wakati hata kwa taifa stars tu ni mzigo
Samata Ni mzigo?. Umeanza lini kuujua mpira?
 
Mnashindana na simba halafu simba yenyewe haina habari sijaona timu yenye punguani kama yanga league wameshinda wao ila ndo wanaongoza kwa kulalamika kila kitu wanajiona wanastahili wao na wamewapata mazuzu wanakubali kila kitu wanachoambiwa.
Shida ni kuwa tunawaonea huruma wazee wa fair competition.....pumzi ikianza kukata
 
Anaweza kucheza Manungu kwelu huyu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Ni fundi popote anacheza anacheza tu mkuu
 
Back
Top Bottom