Simba: Kwa sajili hizi, msimu ujao tusiingize timu uwanjani

Simba nahisi kuna tatizo la pesa..wajiandae tu na maumivu maana tayari washakosea....kwenye mapambano haya wewe bado unaenda kumpigia magoti Kichuya na unamshindwa Bm 33
 
Nyani wa Utopolo mnawashwa sana na mambo ya Simba
 
Simba nahisi kuna tatizo la pesa..wajiandae tu na maumivu maana tayari washakosea....kwenye mapambano haya wewe bado unaenda kumpigia magoti Kichuya na unamshindwa Bm 33
Watapata taabu sana
 
Leta na takwimu zao hapa wote waliosajiliwa Yanga na Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…