Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaap aliibeba fatilia utajuaYanga aliibeba Simba? [emoji15][emoji15]
Nyani wa Utopolo mnawashwa sana na mambo ya SimbaNi hujumaaa
Msimu wa ligue unaokuja hatutaleta team uwanjan hakuna fair compétition mnaleta wachezaji toka Newcastle uko ulaya mara rayo valacano wakat wenzenu tunasajili wakina kyombo walio toka kuishusha team daraja
Yanga mtafute ligi yenu huu uwonevu ndio maana mnamaliza ligi bila kufungwa
Ndugu zangu Wana Simba lazima tuongee hili .....haiwezekani tuna mtoa Morrison ( caterpillar) alafu tunaleta kyombo (baiskeli) Kitu ambacho tunajiuliza Kama Simba Kuna experts wa mambo ya mpira
Mark my words.....mwisho wa msimu ujao tutaanza kupigana kucheza play off......suluhisho ni kuikacha ligue kwa muda
View attachment 2285961
Anzisha uzi wa azamMkuu...umeona Azam wanachokifanya?
Mpalange FC ulimbukeni unawasumbua sana.Mkuu tunawaonea huruma....makolo
Sawa sawa mkaze buti ninyi underdog(CAF)Yaaaah mkuu....jitihada bado zinaendelea
Huon kwa usajili huu.....lazima tulete ubingwa wa super cup
hahaha super cup ipi mnashiriki ninyi ya chang'ombe?!!!Huon kwa usajili huu.....lazima tulete ubingwa wa super cup