Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Utopolo fanyeni yenu Simba inawaumiza sana vichwa yani nyie ni waswahili swahili tulijua labda mijineno neno ni kw sbb hamkua na makombe misimu 4 at least mmepata mtatulia ila holaaa tukajua mmepata mfdhili at least mwenye vi hela vya kuwafanya wachezaji wabadili mboga tukajua mtatulia mtabehave kama matured people lakini walaaaa kutwaa ya simba yapo midomonii na mtapigika sana vichwa vyenu mpk mkae sawa kisaikolojia sio leo kumbe kukosa makombe mfululizo akili zinadumaa. Simba wawachabange tena msimu unaokuja na hao hao kina kyombo nyie si mnajiamini sana? Wait and see