Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 429
- 929
Kwani wewe ulitakaje maana sijaona udhalilishaji wowoteLeo katika tamasha lao imepnyeshwa tukio tundaman akimnyonga mtu the same msimu uliopita ishu ya jeneza. Mbaya zaidi Ahmed ndo kaharibu kabisa ashukuru Azam walizima tukio hilo lisionyeshwe. Naweka hapa ushahidi. Jamn coz ni muda watu kufurahi acheni mambo ya kudhalilisha watu
Wamejinyonga wenyewe wapuuzi hao, binadamu akishajinyonga kinachofata ni kuwekwa kwenye jeneza ambalo walishalitengeneza wao wenyewe🤣🤣Leo katika tamasha lao imepnyeshwa tukio tundaman akimnyonga mtu the same msimu uliopita ishu ya jeneza. Mbaya zaidi Ahmed ndo kaharibu kabisa ashukuru Azam walizima tukio hilo lisionyeshwe. Naweka hapa ushahidi. Jamn coz ni muda watu kufurahi acheni mambo ya kudhalilisha watu
unaugulia kutokea kibanda umiza cha wapi ndg?.Leo katika tamasha lao imepnyeshwa tukio tundaman akimnyonga mtu the same msimu uliopita ishu ya jeneza. Mbaya zaidi Ahmed ndo kaharibu kabisa ashukuru Azam walizima tukio hilo lisionyeshwe. Naweka hapa ushahidi. Jamn coz ni muda watu kufurahi acheni mambo ya kudhalilisha watu
Movie za kuuana hua haziuzi?unaugulia kutokea kibanda umiza cha wapi ndg?.
Ni kejeli kwa manaraHuu kwel ni udhalilishaji..mantiki ya hii kitu ni nini????
Bado hujaiona.Sijaiona ipo hapa?.
Nimeiona mkuu..sio vzr ila kwa kero za manara wacha tuu na yy akerweBado hujaiona.
Kwan Manara kawafanya nini mbona jamaa kama yupo kimya sana??!Ni kejeli kwa manara
Kwa walicho kifanya Simba kina maanisha Manara ni mkubwa kuliko Simba. Kwani mpaka sasa hadhi ya club mshaishusha na bado Manara yupo vichwani mwa viongozi wa Simba kwani kama kiongozi huwezi kubariki hiki kitendo kwenda kwenye umma wa watu tena kina rushwa live kwenye TV.Leo katika tamasha lao imepnyeshwa tukio tundaman akimnyonga mtu the same msimu uliopita ishu ya jeneza. Mbaya zaidi Ahmed ndo kaharibu kabisa ashukuru Azam walizima tukio hilo lisionyeshwe. Naweka hapa ushahidi. Jamn coz ni muda watu kufurahi acheni mambo ya kudhalilisha watu