Simba kwa udhalilishaji huu na mikosi ya kujitakia mtatoka patupu

Nimeiona mkuu..sio vzr ila kwa kero za manara wacha tuu na yy akerwe
Siku zote kwenye mpira husi muattack mtu personally, bali mtanie tu kwa kuangalia rekodi yake,historia yake,vituko vya viongozi wake na wachezaji wake nk.Ndivyo utani ulivyo na si kuanza kumuattack mtu personally.

Mpira unavitu vingi sana vya kutaniana na hasa kama ukiijua historia na rekodi ya timu pinzani hukosi vya kutania.
 
Tangu Ahmed Ally afike Simba kumekuwa na matukio ya ajabu Sana. Huu nao ni utani kweli? Mbona Mambo ya kutania yako mengi kama lile la hat trick ya Kibadeni?
 
Tangu Ahmed Ally afike Simba kumekuwa na matukio ya ajabu Sana. Huu nao ni utani kweli? Mbona Mambo ya kutania yako mengi kama lile la hat trick ya Kibadeni?
Vingi kuna tano bila na vinginevyo.
 
Hivi huwa hawakagui mazoezi kabla ya siku ya tukio?! Kiongozi na akili zako timamu unaweza vipi kuruhusu jambo kama hili litokee.
 
Hivi ndugu zetu wenye ugonjwa huo wamejisikiaje? Hata mashabiki wa simba wenye tatizo hilo sidhani kama wamefurahi mmewakosea sanaa.
Kama kuwaita 'albino' ni vibaya je, kuwadhalilisha hivi?
Sijapenda hata kidogo
 
Sasa Albino ametaka mwenyewe tufanyeje..japo sio vizuri..
Ila kwa mdomo mchafu wa Manara anavyokera wenzie..kuita watu kuku..ngoja tuu wamdhalilishe.
manara ni shabiki tu, anawanyima amani?
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba wana vitu vingi sana vizuri vya kujifunza kutoka Yanga. Mwenye matamasha ya Yanga unakutana na burudani ya ukweli mwanzo mwisho.

Kamwe huwezi kuona maigizo kama ya watoto wa sekondari. Kwa kweli ukiangalia tamasha la Yanga, unafurahi mwanzo mwisho.
 
Kumbe ndio maana Azam walikua wanakwepesha sana camera jukwaani, kumbe walikua wanafanya huu upuuzi.

Tamasha la simba ni la hovyo sijapata kuona, umati wa watu umewafanya wajitoea akili wafanye ushubwada.

Msimu huu simba hapati kitu, singinda fg fc lazima awakande mapema kabisa.
Na wana bahati hawakutani na Azam au wananchi, wangeoga nyingi sana.
 
Ilikua mpera mpera, nusu saa kabla ya mechi akaingia yule dj alikiwasha hakuna aliekaa.

Sasa hawa wanaleta michezo ya maigizo wakati kuna watu wamekaa kule juu mbali kabisa hata hawaoni vizuri kinachofanyika.
 
Ni kejeli kwa manara
Kama ni kejeli kwa Haji Manara naunga mkono kwani huyu mjinga ugomvi wake na Barbara aliugeuza kama ni ugomvi na Simba yote hivyo moja kwa moja ameji-brand kuwa ni adui wa Simba Sports Club. Adhalilishwe vyovyote vile mimi nitaunga mkono hana adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…