Simba kwanini tunashindana na Yanga?

Ila bado hamjalipa ile ya 6-0πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mara nyingi Kama si zote,Simba amfungapo yanga goli nyingi Basi huwa Kuna mgogoro yanga,6-0 yanga walifukuza kikosi chote Cha yanga,5-0 yanga walikua hawamtaki nchunga Kama mwenyekiti wao,hata kiongozi wa Simba alisema yanga wamejifunga hizo 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…