Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kwa namna timu yetu inavyopitia kipindi kugumu Kwa ukosefu wa pesa za usajiri wa key players nashauri ule uwanja wa Bunju ubadilishwe matumizi kwenda kwenye kilimo cha matikiti then tutayauza Kwa lazima kwa Makolo wanavyoingia Kwa mkapa kucheki mechi.
Mfano tutapata matikiti 90,000. Itakua hivi
Tikiti 1 = 5000
Tikiti 90000 = ?
5000 × 90000
Hakika tutapiga pesa ndefu ambazo zita improve usajili mkubwa kama yanga [emoji4][emoji4]
Mfano tutapata matikiti 90,000. Itakua hivi
Tikiti 1 = 5000
Tikiti 90000 = ?
5000 × 90000
Hakika tutapiga pesa ndefu ambazo zita improve usajili mkubwa kama yanga [emoji4][emoji4]