Prof Eng hersi kaahidi soon unaanzakujengwaNa ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?
Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!
Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.
Kwa kweli nikiwa kama mshabiki wa Yanga, naisubiria hii ahadi kwa hamu kubwa.Prof Eng hersi kaahidi soon unaanzakujengwa
Sababu za kisiasa,ndo zinafanya hizi timu kamwe zisije kumiliki uwanja,watu watapigwa fix miaka nenda miaka rudi,ila kumiliki uwanja wao binafsi,haiji tokea.Na ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?
Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!
Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.
Sure mkuuSababu za kisiasa,ndo zinafanya hizi timu kamwe zisije kumiliki uwanja,watu watapigwa fix miaka nenda miaka rudi,ila kumiliki uwanja wao binafsi,haiji tokea.
Na nyie Kwa nini msifuge kambale pale Kaunda? Kambale mmoja 1500 na ukubwa wa pale unaweza kuzalisha Hadi kambale 3,000,000.Kwa namna timu yetu inavyopitia kipindi kugumu Kwa ukosefu wa pesa za usajiri wa key players nashauri ule uwanja wa Bunju ubadilishwe matumizi kwenda kwenye kilimo cha matikiti then tutayauza Kwa lazima kwa Makolo wanavyoingia Kwa mkapa kucheki mechi.
Mfano tutapata matikiti 90,000. Itakua hivi
Tikiti 1 = 5000
Tikiti 90000 = ?
5000 × 90000
Hakika tutapiga pesa ndefu ambazo zita improve usajili mkubwa kama yanga [emoji4][emoji4]
View attachment 2629646
Hakika mkuuKwa kweli nikiwa kama mshabiki wa Yanga, naisubiria hii ahadi kwa hamu kubwa.
Maana inahuzunisha kuona klabu kubwa na kongwe kama Yanga! Klabu iliyoanzishwa mwaka 1935, ikimiliki lile jengo moja tu la pale Jangwani.
Mkuu sisi tunajitosheleza financially..... mbele ya GSM......Na nyie Kwa nini msifuge kambale pale Kaunda? Kambale mmoja 1500 na ukubwa wa pale unaweza kuzalisha Hadi kambale 3,000,000.
Chukua 1500x3000000=4.5b
Mnamnunua Shalulele na chenji inabaki.
Mkuu, pale jangwani mpunga unakubali mno...tufuate hatua hiziNa ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?
Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!
Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.