Simba kwanini ule uwanja wa Bunju msiutumie kulima matikiti? Itawalipa sana

Simba kwanini ule uwanja wa Bunju msiutumie kulima matikiti? Itawalipa sana

Na ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?

Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!

Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.
Prof Eng hersi kaahidi soon unaanzakujengwa
 
Na ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?

Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!

Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.
Sababu za kisiasa,ndo zinafanya hizi timu kamwe zisije kumiliki uwanja,watu watapigwa fix miaka nenda miaka rudi,ila kumiliki uwanja wao binafsi,haiji tokea.
 
Sababu za kisiasa,ndo zinafanya hizi timu kamwe zisije kumiliki uwanja,watu watapigwa fix miaka nenda miaka rudi,ila kumiliki uwanja wao binafsi,haiji tokea.
Sure mkuu
Maana hata Simba walipigwa zengwe sana kutoka nyasi zao pale bandarini mpaka watu wakawa wanajiuliza ni Kodi pekee au kuna lingine
 
Kwa namna timu yetu inavyopitia kipindi kugumu Kwa ukosefu wa pesa za usajiri wa key players nashauri ule uwanja wa Bunju ubadilishwe matumizi kwenda kwenye kilimo cha matikiti then tutayauza Kwa lazima kwa Makolo wanavyoingia Kwa mkapa kucheki mechi.

Mfano tutapata matikiti 90,000. Itakua hivi

Tikiti 1 = 5000

Tikiti 90000 = ?
5000 × 90000

Hakika tutapiga pesa ndefu ambazo zita improve usajili mkubwa kama yanga [emoji4][emoji4]

View attachment 2629646
Na nyie Kwa nini msifuge kambale pale Kaunda? Kambale mmoja 1500 na ukubwa wa pale unaweza kuzalisha Hadi kambale 3,000,000.
Chukua 1500x3000000=4.5b
Mnamnunua Shalulele na chenji inabaki.
 
Kwa kweli nikiwa kama mshabiki wa Yanga, naisubiria hii ahadi kwa hamu kubwa.

Maana inahuzunisha kuona klabu kubwa na kongwe kama Yanga! Klabu iliyoanzishwa mwaka 1935, ikimiliki lile jengo moja tu la pale Jangwani.
Hakika mkuu
 
Na nyie Kwa nini msifuge kambale pale Kaunda? Kambale mmoja 1500 na ukubwa wa pale unaweza kuzalisha Hadi kambale 3,000,000.
Chukua 1500x3000000=4.5b
Mnamnunua Shalulele na chenji inabaki.
Mkuu sisi tunajitosheleza financially..... mbele ya GSM......
 
Na ule uwanja wetu wa Kaunda kwa nini tusijenge mabwawa ya samaki kwa ajili ya kuwauzia majirani na pia kuwagawia wachezaji wetu kama sehemu ya motisha pale wanapofanya vuzuri kwenye mechi zao?

Maana Yanga na simba baba yao ni mmoja!! Tangu miaka ya 1930's! Mpaka leo wanategemea viwanja vya serikali. Yaani timu zilizoanzishwa miaka ya 1990's na 2000's kama Azam Fc, Mtibwa Sugar, Ihefu Fc, Namungo Fc, nk zina viwanja vyao!

Ila ukija kwa Yanga na simba, kila siku viongozi wao wanapiga tu porojo, na kuwahadaa mashabiki na wanachama.
Mkuu, pale jangwani mpunga unakubali mno...tufuate hatua hizi

1. Washabiki wa yanga kuwahi na chengo na mafyekeo na mapanga saa 12 alfajil mpaka jua likiwaka saa 4 tutakuwa tushamaliza,

2. Jua likiwaka la kutosha baada ya wiki tunachoma moto[emoji91]

3. Washabiki kuja na majembe kwa ajili ya kukatua na kuvuruga hii kazi ya siku 1 tu...

4. Mashabiki kuja kumwaga mpunga hii kazi ya siku 1 tu[emoji23]

5. Kung'olea tutaakuwa tunapanga zamu



Tutapata mpunga mwingi sana,mwisho wa msimu tutakula wali na ng'ombe wa mayele, najua matunda tutapata kwa jirani kule bunju wakivuna matikiti yao.
 
Kwakweli nazidi kuamini hakuna utopolo hata mmoja ambaye amewahi kumiliki akili japo hata hata kwa sekunde Moja tu.
Huyo unayemsema angalau ana uwanja japo wa mazoezi . Timu lako linachokimiliki labda ni ndevu za morison halafu makelele kibao .

Ama kweli , Luc Eymael ajengewe Mnara kwenye majaruba ya jangwani.
 
Back
Top Bottom