Simba kwanini ule uwanja wa Bunju msiutumie kulima matikiti? Itawalipa sana

Mkuu mi naona pale Yanga wako well financially stable kuliko makolo ambao Kila siku wanamlilia mwamediii
 
Lkn Yanga bado wanapesa nyingi ....coz Wana muwekezaji makini

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila binafsi sikubaliani na ujenzi wa uwanja baada ya kuona utitiri wa makato. Kama kujenga labda wajenge kwaajili ya kufanyia mazoezi tu. Na sio uwanja kwa ajili ya michezo rasmi.
 
Ila binafsi sikubaliani na ujenzi wa uwanja baada ya kuona utitiri wa makato. Kama kujenga labda wajenge kwaajili ya kufanyia mazoezi tu. Na sio uwanja kwa ajili ya michezo rasmi.
Kwann mkuu
 
 
USHAURI KWA SIMBA NA YANGA;
Simba wamchukue kocha Profesa Nabi wa Yanga.... halafu Yanga walipize kwa kumchukua Matola wa Simba.
 
Ac Milan na Inter Milan nazo HAZINA viwanja vya mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…