Simba kwanini ule uwanja wa Bunju msiutumie kulima matikiti? Itawalipa sana

Kwann mkuu
Tatizo ni makato ni mengi mno,
BMT
Bodi ya ligi
TFF
VAT
DRFA
Hao wote wanapokea mgao wa mapato ya gate collection asa hivyo viwanjav vya Simba na Yanga watakuwa wamejenga kwaajili ya kunufaisha tu hao. Timu zililie kwanza kupunguzwa kwa makato katika mapato ya viingilio uwanjani
 
Kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…