NUNUA KWETU
Member
- Oct 11, 2018
- 25
- 37
Akili kduchu. Siasa za wap zpo sahihi. Vp USA nowMpira wa tz na siasa za tz zinafanana kama mapacha
Poleee San bwana mdogo.ulichotamani hakikutokea.hii ni next level.hakunaga kelele mingi km ile mavyura ya lile jangwa la kipekee duniani lenye mafuriko.Yaani refa ndiye aliyetoa penalty lakini wachezaji wa Simba ndio waliokua wakiona aibu.
Watabebwa wakija airport maana ndiyo kazi yenu iliyobakiPlatinum watajipigia kiulainii maana kule hakuna kubebwa Kama bongo
Walipita kukusanya viela vya kula😆😆😆Wakimataifa jana walikuwa wanacheza mashindano gani?
Mbona huongelei Plateau United.Nao walijipigia eee.Hii inaitwa Simba mnyama mkali.Wewe kashone Dera/Kijora Cha njano na mbogamboga hao Platnum wakija uwashangilie kwa nguvu zote halafu mwisho wa siku ulete mrejesho hapa.Platinum watajipigia kiulainii maana kule hakuna kubebwa Kama bongo
Anajitoa ufahamu mkuu😆😆Yaan we kilaza. Hilo jina LA wamatopeni km hujui ni la timu gani BASI ni la yanga. Timu isiyoshirik mashindano ya kimataifa PIA pale klabuni kwao JANGWAN mda woote ni tope tu. Ndio mana huitwa pia VYURA fc
Masikini wa Mawazo. Uliwaza hvyo hvyo kwa wale waume znu wa plateau. Shame on youPlatinum watajipigia kiulainii maana kule hakuna kubebwa Kama bongo
Ngoja mnyama akae pale juu ndio utajua hamjuiSimba hamna kitu pale.....
Ngoja mnyama akae pale juu ndio utajua hamjui
Ni wapi nimetaja penat kwa simba?Kisa penat kwa simba? Ktk mechi ya simba vs Yanga ile penat yenu hamkusema kitu. Mijibwa nyie kaz kubwekabweka tu. Alishasemaga yule Kocha wenu
Ile ni penalt.. cha kufata mkumbo kisa we yanga.Na mtakaa tu...kwa waamuzi kama wale..
Tupen update
Nyani watabaki kuwa nyani tu hata wasimame na kutembea kama binadamu.Habari!
Wamatopeni nilikuwa napenda kuwapa taarifa mapema lengo ni mjiandae kisaikolojia mapema maana mnaenda kukalia dhidi ya KMC.
Maana kwa mechi zenu hizi za nyuma mbeleko mbeleko leo hakutakuwa na mbeleko kwa vijana wa Kinondoni.
Ni hayo hakuna mengi mechi itaisha Simba 1 - 2 KMC.
Kila la kheri wamatopeni mkachukue kichapo chenu mida ya saa moja kamili ya leo.