Simba leo atapoteza mchezo wake dhidi ya KMC

Yaani refa ndiye aliyetoa penalty lakini wachezaji wa Simba ndio waliokua wakiona aibu.
Poleee San bwana mdogo.ulichotamani hakikutokea.hii ni next level.hakunaga kelele mingi km ile mavyura ya lile jangwa la kipekee duniani lenye mafuriko.
 
Platinum watajipigia kiulainii maana kule hakuna kubebwa Kama bongo
 
Simba kabebwa na refa. Mpira wetu una safari ndefu
 
A
Yaan we kilaza. Hilo jina LA wamatopeni km hujui ni la timu gani BASI ni la yanga. Timu isiyoshirik mashindano ya kimataifa PIA pale klabuni kwao JANGWAN mda woote ni tope tu. Ndio mana huitwa pia VYURA fc
Anajitoa ufahamu mkuu😆😆
 
Kisa penat kwa simba? Ktk mechi ya simba vs Yanga ile penat yenu hamkusema kitu. Mijibwa nyie kaz kubwekabweka tu. Alishasemaga yule Kocha wenu
Ni wapi nimetaja penat kwa simba?
Soma mara nyingi nilichokiandika siyo unakurupuka kuonesha namna gani kichwa chako kimejaa mavi
 
Nyani watabaki kuwa nyani tu hata wasimame na kutembea kama binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…