Jamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
Haya ni matumizi mabaya ya ubongo. Kuna vitu vya kushabikia ila sio huu upuuzi unaofanywa na marefa. Kushabikia hizo mambo ni sawa na kubariki kuua soka letu.
Kwahyo kisa tumekosa clean goals mwamuzi hata akijiridhisha ni penati asiweke?Haijalishi uwe unaongoza ama upo nyuma ikiwa penalt na iwekwe penalttafuta threads zangu utaona mimi ni shabiki wa simba,hatukuhitaji penalty ile ya kijinga ku win game ile, tulikuwa na uwezo wa kufunga 3 clean goals kabisa
Wewe huwezi kua Mshabiki wa Simba. Washabiki ni hao wanaopongeza upuuzi. Wewe ni mpenzi wa Simba!!! Nakunaliana nawe, Team ina wachezaji kiwango cha CAF. Inabidi tucheze mpira wa level hiyo kama tunahitaji kufika mbali. Ile penalti ya pili ni kweli sio kwa Mnyama aliyefika kwenye Club 8 bora Africa. We are better than that!!. Kama tunataka kupongeza juhudi pongezeni. Ila hiyo sio health kwa Club kama Simba. Lazima team yetu ionyeshe tofautiJamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
Unakua mbea mtoto wa kiume ni aibu. Leteni video ya hiyo penalty ya pili tuone ka haikua halaliJamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
Kibendera kikiwa juu kinamaanisha nini?Una uhakika gani kwamba ile filimbi walimaanisha offside??
Video hiyo. Toa ufafanuzi wakoUnakua mbea mtoto wa kiume ni aibu. Leteni video ya hiyo penalty ya pili tuone ka haikua halali
Sasa wewe hujaona mpira umemgonga mkononi baada ya beki wake kuokoa mpira alioupiga mzamiruVideo hiyo. Toa ufafanuzi wakoView attachment 1081496
Sheria ya penat nikwasimba tu basi penati zile zile kwa kmc sheria ilikuwa inabadirika haraka na KambuziJamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
Huu ubongo utakuwa topeYanga mnateseka sana kwa nini lakini? Au kwa vile mlibebwa sana kipindi cha malinzi miaka minne hamkuweza kufikia ilipo simba? Roho zinawaumaaa subrini dawa iwakolee kwanza. Sa hivi tunaifata nafas yetu ya kuongoza tulieni ivo ivo kama mnanyolewa. Shubamitiii
Mpira ndio umemgonga mkononi na wala sio kwamba mkono wake umefuata Mpira kwa lengo kuuzui mpira.Sasa wewe hujaona mpira umemgonga mkononi baada ya beki wake kuokoa mpira alioupiga mzamiru
Wakati mpira unamgonga mkono ulikua wapi? Hivi ile penalty waliopewa Man U dhidi ya PSG ipi mpira ulifuata mkono?Mpira ndio umemgonga mkononi na wala sio kwamba mkono wake umefuata Mpira kwa lengo kuuzui mpira.
Mpira ukigonga mkononi the general rule ni faulo, ila kuna exceptions ambazo ni pamoja na mpira kugonga mkono kwa bahati mbaya; refa anaweza kuiacha, ila akiamua kutoiacha hawezi kulaumiwa.Mpira ndio umemgonga mkononi na wala sio kwamba mkono wake umefuata Mpira kwa lengo kuuzui mpira.
Ngoja tuanzie na Simba.Wakati mpira unamgonga mkono ulikua wapi? Hivi ile penalty waliopewa Man U dhidi ya PSG ipi mpira ulifuata mkono?
Maelezo safi! Mbeleko Fc wamekuelewaNgoja tuanzie na Simba.
1. Mpira ulimgonga mchezaji wa KMC na wala hakuwa na lengo la kuuzuia mpira
2. Mpira haukuwa unaelekea golini kwa KMC bali ulikuwa unaelekea golini kwa Simba ndio ukamgonga mchezaji wa KMC hivyo awe na lengo la kuushika ili iweje wakati mpira hauekei golini kwake?
3. Mpira haukupigwa na mchezaji wa simba bali ulipigwa na mchezaji wa KMC kuelekea langoni la simba ndipo ukamgonga mchezaji mwenzie. Sasa hapo tutatafsiri vipi kuwa kazuia shambulizi makusudi kwa mkono wakati uelekeo wa mpira kipindi unapigwa ulikuwa unaelekea langoni mwa simba?
Tuje kwa Psg vs Man
Ukiangalia video ni kwamba mpira uliopigwa na mchezaji wa Man u ulikuwa unaelekea golini kwa Psg lakini mchezaji wa Psg akauzuia ule mpira ili usiingie golini. View attachment 1081701View attachment 1081704
Sasa sheria ya kushika haisemi kushika ni pale tu mpira unapoelekea langoni kwako.Ngoja tuanzie na Simba.
1. Mpira ulimgonga mchezaji wa KMC na wala hakuwa na lengo la kuuzuia mpira
2. Mpira haukuwa unaelekea golini kwa KMC bali ulikuwa unaelekea golini kwa Simba ndio ukamgonga mchezaji wa KMC hivyo awe na lengo la kuushika ili iweje wakati mpira hauekei golini kwake?
3. Mpira haukupigwa na mchezaji wa simba bali ulipigwa na mchezaji wa KMC kuelekea langoni la simba ndipo ukamgonga mchezaji mwenzie. Sasa hapo tutatafsiri vipi kuwa kazuia shambulizi makusudi kwa mkono wakati uelekeo wa mpira kipindi unapigwa ulikuwa unaelekea langoni mwa simba?
Tuje kwa Psg vs Man
Ukiangalia video ni kwamba mpira uliopigwa na mchezaji wa Man u ulikuwa unaelekea golini kwa Psg lakini mchezaji wa Psg akauzuia ule mpira ili usiingie golini. View attachment 1081701View attachment 1081704
Mi makosa ninayo yaona ni kwamba wale vibendera walishindwa kabsa kutafsiri offside hasa yule mwanamkeKwahiyo Tff kuwaondoa marefa waliochezesha mechi ya simba wamekosea kwa wale wanaopinga simba kubebwa.