Hivi kupokea watu Airport ni kosa? Au ni mara ya kwanza kufanyika? Mbona mnaifanya ionekane kama kitu cha ajabu sana?
Hili swala mbona lipo karibu Dunia nzima hasa kwa timu pinzani.
Misimu mi 2 nyuma mamelod alipokelewa Egypt pale na Zamalek.
Kama nyinyi mkiwa na Muunganiko inatosha, Yanga kama unaiona haina Muunganiko lakini ndio inakwenda msimu wa pili unbeaten na wewe mwenye muunganiko una struggle kupata matokeo Kwa Yanga isiyo na Muunganiko au nawewe timuyako uwa inahongwa?Kikosi chenu ni fake , hakuna muunganiko.
Ushindi wenu ni wa kimagumashi tu wala hakuna maajabu.
Tigopesa Fc
Kwa akili za namna hii tutalaumu kila kiongozi katika Taifa hili.Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliyopita kimewatesa sana wana Simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa Simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii.
Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa Simba dhidi ya timu ya Yanga
Mifano ipo hai hata humu humu JF jukwaa la michezo someni hizo mada, utaona nyingi ni Simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya Yanga!
Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu, Simba walicheka na kushangilia sana, unajiuliza shida iko wapi?
Yanga anacheza kimataifa, anawakilisha taifa pia,
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa, tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu,
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa Afrika Mashariki (na hili halina ubishi), kwanini Simba wasikubali hayo? Chuki za nini? Hata akitolewa Yanga huko Tunisia nini cha ajabu? Barcelona huyo anaenda Europa kuna ajabu gani sasa?
Simba acheni chuki, bado mnabebwa kwa kila namna. Eti mnaweza msicheze hadi Jumatano siku ambayo Yanga anaingia dimbani.
Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya Yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote.
Acheni hizo, chezeni mpira, mnashindwa hata na wale Simba Queens ambao unawaona wanapigana kutafuta matokeo.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Simba hawawezi kufanya michezo yenu ya kijinga kushindana kuhonga waamuzi na wachezaji wa timu pinzani.Aliye wasaidia Simba Kwa 50% kuchukua ubingwa ni Makonda, Kitendo Cha Simba kumhujumu Manji kupitia Makonda kuli idhohofisha sana Yanga nikama walikua wakipigana na bondia aliyefungwa mikono.
Kwasasa Yanga na Simba zote Zina Matajiri na mzani ukiwa hivi, Simba hawezi kubeba kikombe chochote Cha mashindano kinacho andaliwa na Tff. Hii Hali itaishi Kwa miaka mingi ijayo.
Kilicho Baki ni malalamiko tu,hawana pa kujificha na Kadri siku zinavyo kwenda Yanga wanazidi kuimarisha timu na sehemu za ufundi.
Mbumbumbu fc watapata tabu sana.
Wazee wa kununua mechi [emoji16][emoji16] ngoja mkachezee kichapo akili zikae sawa [emoji2959] kimataifa hawachukui bahasha.
Ubora wa nani???. YANGA HAINA UBORA WOWOTE. Weka pembeni ushindi wa BAHASHA. Lete timu nyingine za Africa DADADEQ ZENU. since 1998. Na bado.Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliyopita kimewatesa sana wana Simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa Simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii.
Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa Simba dhidi ya timu ya Yanga
Mifano ipo hai hata humu humu JF jukwaa la michezo someni hizo mada, utaona nyingi ni Simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya Yanga!
Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu, Simba walicheka na kushangilia sana, unajiuliza shida iko wapi?
Yanga anacheza kimataifa, anawakilisha taifa pia,
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa, tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu,
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa Afrika Mashariki (na hili halina ubishi), kwanini Simba wasikubali hayo? Chuki za nini? Hata akitolewa Yanga huko Tunisia nini cha ajabu? Barcelona huyo anaenda Europa kuna ajabu gani sasa?
Simba acheni chuki, bado mnabebwa kwa kila namna. Eti mnaweza msicheze hadi Jumatano siku ambayo Yanga anaingia dimbani.
Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya Yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote.
Acheni hizo, chezeni mpira, mnashindwa hata na wale Simba Queens ambao unawaona wanapigana kutafuta matokeo.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wa aitwa wazee wa tigopesa fcWazee wa kununua mechi [emoji16][emoji16] ngoja mkachezee kichapo akili zikae sawa [emoji2959] kimataifa hawachukui bahasha.
Hahahaa kinye fc aka muamala fc na bado mtabaki wa hapa hapa fcAliye wasaidia Simba Kwa 50% kuchukua ubingwa ni Makonda, Kitendo Cha Simba kumhujumu Manji kupitia Makonda kuli idhohofisha sana Yanga nikama walikua wakipigana na bondia aliyefungwa mikono.
Kwasasa Yanga na Simba zote Zina Matajiri na mzani ukiwa hivi, Simba hawezi kubeba kikombe chochote Cha mashindano kinacho andaliwa na Tff. Hii Hali itaishi Kwa miaka mingi ijayo.
Kilicho Baki ni malalamiko tu,hawana pa kujificha na Kadri siku zinavyo kwenda Yanga wanazidi kuimarisha timu na sehemu za ufundi.
Mbumbumbu fc watapata tabu sana.
Vip nyinyi Simba tunavyo wa tandika Kila uchao uwa tunawahonga? Nyinyi ni vibonde wetu wa kudumu. Uko Caf hamna kikombe chochote Cha kututambia.Ubora wa nani???. YANGA HAINA UBORA WOWOTE. Weka pembeni ushindi wa BAHASHA. Lete timu nyingine za Africa DADADEQ ZENU. since 1998. Na bado.
Ninyi mkiweka pua jamaa wanawa-toinyishaVip nyinyi Simba tunavyo wa tandika Kila uchao uwa tunawahonga? Nyinyi ni vibonde wetu wa kudumu. Uko Caf hamna kikombe chochote Cha kututambia.
Sadakta heshima kwako...Kila sehemu ambayo mbumbumbu fc wanajificha sisi tuna fumua, Hatufugi panya kwenye debe la unga.
Mabingwa mara 28, tunaendeleza unbeaten.
Kama unasema Yanga wanahonga, Kahonge na wewe tuone kama utafikisha mechi kumi hujapasuka.
Ukijidai kuvimba tunakuja kukupasua sisi wenyewe.
Apa Tanzania Mbabe ni mmoja tu, Dar Young Africa kama nawewe unajifanya mkubwa tuonyeshe makombe uliyonayo.[emoji1][emoji1]
Hivi nyie simba mnadhani mtafika wapi?azam tu kawabomoa halafu eti mnajidanganya ati nyie ni wakubwa..sasa ngoja siku mkutane na mamelodi tuone senema ya bureHahahaa kinye fc aka muamala fc na bado mtabaki wa hapa hapa fc