Simba mara ya nne sasa mnakosea tena

Simba mara ya nne sasa mnakosea tena

Nimesikiti sana na club ya simba kwa kurudia makosa yale yale kwa mwaka wa nne sasa
Simba wamekua na timu nzuri sana lakini inapofika mechi za mwisho ili wachukua kombe wanakumbwa na mdudu gani sijui
Kuanzia wachezaji wenyewe hadi viongozi wanapoteza focus kirahisi sana.

Kila mara wanarudia makosa yale yale.
Sasa washajiridhishai kumfunga mbao baada ya kubaini ubingwa wamekosa
Hawajui katika footaball yanga anaweza fungwa mechi zote na wao kushinda mechi yao
Pia wanadharau mbao fc duuuu
Jeri muro aliwakosesha ubingwa mwaka jana kwa kuwatoa kwenye reli kisaikolojia.
Kera saaaaaaaana simba aaaaah
Tuwe wa kweli, simba hana kiwango kikubwa cha uchezaji ukilinganisha na yanga, jaribu kuangalia wanaowanua golden boot waliowengi kama siyo wote ni wachezaji wa yanga. Huo ni ushahidi tosha kuwa Yanga inasafu nzuri ya ushambuliaji ukilinganisha na,simba. Jaribu kupitia utaona, achulia mbali hata mchezaji mmoja mmoja, unapotaja TAMBWE, MSUVA, NIONZIMA, KAMUSOCO, nani mwenye kasi zaidi kuliko hawa huko simba?
 
Mkuu wewe ni bure kabisa ukisema kuwa ndio timu iliyozifunga timu zote kubwa yaani yanga na azam hii nayo ni point? basi EPL timu bora mwaka huu ni liverpool kwani haijapoteza mechi kubwa hata moja iliifunga chelsea,arsenal,spurs,man city nk je tuseme liver ndiyo ilistahili kuwa bingwa? acha unazi simba mapungufu mengi sana ila manara alishasema liwake jua inyeshe mvua vpl lazima ubingwa msimbazi.
 
Nimefurahia sana hoja zako. Ni fundisho kwa wengine humu JF na nje ya humu kwamba hoja hujibiwa kwa hoja, si matusi ama kejeli. Laiti ungekuwa karibu, ningekualika kahwa tukapata muda zaidi wa kujadili hoja hii pana.

Tuko pamoja kiongozi, am really humbled. Huwa nafurahi pia uwezo wako wa kujadili hoja hata kama tuna maoni binafsi.
Ipo siku tutatafutana na kuapta angalau kikombe, after all michezo ni furaha na urafiki.
 
Tatizo sio Simba.

Wapenzi wa mpira wanaweza kuulaumu uongozi wa Simba SC kwa kutokuipa ubingwa klabu hiyo kwa muda mrefu.
Tatizo halikuwa kwenye uongozi bali kwenye uwekezaji.
Kila mdau wa michezo anajua kuwa mpira ni pesa.
Katika hicho kipindi timu ya Azamu na Yanga ndizo zilizowekeza kwa kiwango kikubwa katika kuboresha maendeleo ya klabu zao na ndizo zilizokuwa zikibadilishana ubingwa
wa ligi.
Azamu inafahamika kuwa milionea Said Bakhresa amewekeza kwa kiwango kinachoizidi Clabu ya Simba.
Halikadhalika
Clabu ya Yanga Afrika, bilionea Yusuf Manji alijitolea kwa mapenzi yake kuwekeza raslimali zake kwa kiwango cha juu kuizidi Simba,
Yanga Afrika ndiyo klabu yenye wachezaji wa kiwango cha juu kabisa na wa ghalama ya juu kupita Clabu zote hapa tz.
Nakumbuka aliyekuwa msemaji wa Yanga Jery Muro aliwahi kusema
kuwa
Mshahara wa wachezaji wa watano wa Yanga unalipa mshahara wa wachezaji wote wa Simba.
Ivi pale mbele akisimama, NGOMA, CHIRWA, TAMBWE, pembani MSUVA, MWASHIUYA, kati, KAMUSOKO, NIYONZIMA, nyuma BOSOU, YONDANI, DANTE.
Ivi ni timu gani hapa Tanzania itazuia uzito huu.
Mi sio mshabiki wa Yanga lakini ukweli nauona, Manji alijitahidi kusajiri vizuri kwa pesa yake ya mfukoni.
Azam nao wanafuatia kwa kusajiri vizuri, Simba inafuatia ndo maana Yanga na Azamu ndio wanaocheza mechi za kimataifa.
Jambo hili ndilo lililo mkasilisha mwanachama wa Simba MO hadi akaona ni afadhali aweke hisa zake hapo ili Simba ifanye vizuri.
Simba kwa kipindi cha Raisi Aveva, ilikabiliwa na ukata mkubwa hadi akina KIIZA na KESSI, wakaamua kuikimbia timu.
Timu ikabaki kusajiri wachezaji wa bei rahisi na wakiwango cha chini kama akina
Blaginoni
Ni bahati tu Simba ilikuwa na wachezaji wa timu B ambao hawakuhitaji kusajiliwa kwa bei ya juu. Walihitaji kupandishwa kikosi cha kwanza hao ndo wanaosaidia timu la sivyo Yanga wangelipa goli zao TANO au na kuzidi. hao ni akina,
NDEMLA, MKUDE, AJIBU, MUHAMEDI HUSEIN.nk
Wacheni kulaumu mpira ni pesa,
Lazima kuwe na mazingira ya kuwavutia wawekezaji wakubwa wa mpira waje kuidhamini timu.
Simba pamoja na kuwa na wachezaji wa ghalama nafuu wamejitahidi sana hadi kufikia fainali ya F.A na kuwa katika nafasi ya pili ya ubingwa wa ligi.
MPIRA NI PESA.
Kweri Wewe Ni Mdau Wa soka umedadavua vzr sana
 
Kuna ukweli mdogo kwenye makala yako ndefu. Unaonekana kuipamba sana Yanga kwa ubora ambao haina.
Tukiacha unazi na kuacha takwimu ziongee Simba ni timu bora zaidi uwanjani kuliko Yanga.

- Ndiyo timu pekee ambayo bado inapigania makombe mawili. Yanga inapigania kombe 1 tu, Azam imeshamaliza msimu
- Ndiyo timu pekee iliyozifunga timu zote washindani, yaani Yanga na Azam. Azam hajaifunga Yanga wala Yanga hajaifunga
Simba.
- Ndiyo timu iliyoweka rekodi ya kuwa na umiliki mpira mkubwa ktk mechi zote bila kujali matokeo au upungufu wa
wachezaji uwanjani.
- Ndiyo timu yenye wachezaji wengi ktk timu Taifa pamoja na Azam

Ukiacha kiwango cha mshahara naamini Simba uwanjani imekuwa bora zaidi kuliko Yanga na Azam, na hata uwezo wa wachezaji ni mkubwa sana. Kilichoaigharimu nadhani ni kuchelewa kupata muunganiko, na kupiga hesabu vizuri za kuwania ubingwa
Khaa! Mkuu. timu yako haina sifa hiyo ya kuwa Bora. Kama unakuwa bora na unashindwa kuwa Bingwa, basi haina maana ya kujiita Bora. Acha walio bora wajiite bora kwa vitendo.

1. Kupigania makombe mawili hakukufanyi uwe bora, wakati inajulikana kabisa kombe unalopigania la Ligi Kuu hauna nafasi ya kulichukua.

2. Kuwafunga azam na yanga then ukaja kufungwa na Afrika Lyon na Kagera hakukupi sifa ya kujiita Bora.

3. Kumiliki mpira sio kipimo cha ubora aisee! hiyo ni moja ya mfumo wa uchezaji soka. MAdrid ni klabu bora barani ulaya kwa sasa ila haina uwezo wa kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa kama Barcelona.

4.Ndiyo timu yenye wachezaji wengi TImu ya Taifa.....(Kumbuka Mavugo anapata namba NT lakini hakumfanyi awe bora kuliko Ngoma asiyepata namba NT (Kwenye NT zao).
 
Mkuu wewe ni bure kabisa ukisema kuwa ndio timu iliyozifunga timu zote kubwa yaani yanga na azam hii nayo ni point? basi EPL timu bora mwaka huu ni liverpool kwani haijapoteza mechi kubwa hata moja iliifunga chelsea,arsenal,spurs,man city nk je tuseme liver ndiyo ilistahili kuwa bingwa? acha unazi simba mapungufu mengi sana ila manara alishasema liwake jua inyeshe mvua vpl lazima ubingwa msimbazi.


Huyu Jamaa amenifurahisha sana aisee!


ati kumfunga yanga na azam ndio kipimo cha ubora kwenye mtazamo wake!

sasa ni bora bingwa awe anapatikana kwa njia hizo za kuwafunga timu kubwa bila kuzingatia kama utamaliza ligi ukiwa juu au chini...
 
Khaa! Mkuu. timu yako haina sifa hiyo ya kuwa Bora. Kama unakuwa bora na unashindwa kuwa Bingwa, basi haina maana ya kujiita Bora. Acha walio bora wajiite bora kwa vitendo.

1. Kupigania makombe mawili hakukufanyi uwe bora, wakati inajulikana kabisa kombe unalopigania la Ligi Kuu hauna nafasi ya kulichukua.

2. Kuwafunga azam na yanga then ukaja kufungwa na Afrika Lyon na Kagera hakukupi sifa ya kujiita Bora.

3. Kumiliki mpira sio kipimo cha ubora aisee! hiyo ni moja ya mfumo wa uchezaji soka. MAdrid ni klabu bora barani ulaya kwa sasa ila haina uwezo wa kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa kama Barcelona.

4.Ndiyo timu yenye wachezaji wengi TImu ya Taifa.....(Kumbuka Mavugo anapata namba NT lakini hakumfanyi awe bora kuliko Ngoma asiyepata namba NT (Kwenye NT zao).

Mbona unarudia hoja za mwenzako bila kuacknowledge = hii inaitwa plagiarism. Nilishajibu na wewe hujauliza swali jipya zaidi ya kubold tu.
 
Yanga Afrika ndiyo klabu yenye wachezaji wa kiwango cha juu kabisa na wa ghalama ya juu kupita Clabu zote hapa tz.
Mi sio mshabiki wa Yanga lakini ukweli nauona.
MPIRA NI PESA.
Mkuu kwa kauli yako hiyo iliyokozeshwa ambayo sijawahi kumsikia nayo mtu mwengine, wala TFF haina vigezo vya kuweka viwango vya wachezaji, tutashawishikaje kwamba wewe si shabiki wa Yanga?
 
Nimesikiti sana na club ya simba kwa kurudia makosa yale yale kwa mwaka wa nne sasa
Simba wamekua na timu nzuri sana lakini inapofika mechi za mwisho ili wachukua kombe wanakumbwa na mdudu gani sijui
Kuanzia wachezaji wenyewe hadi viongozi wanapoteza focus kirahisi sana.

Kila mara wanarudia makosa yale yale.
Sasa washajiridhishai kumfunga mbao baada ya kubaini ubingwa wamekosa
Hawajui katika footaball yanga anaweza fungwa mechi zote na wao kushinda mechi yao
Pia wanadharau mbao fc duuuu
Jeri muro aliwakosesha ubingwa mwaka jana kwa kuwatoa kwenye reli kisaikolojia.
Kera saaaaaaaana simba aaaaah



simba ndugu yao ni arsenal
 
Back
Top Bottom