Tetesi: Simba mbioni kupigwa mnada

mkubwa mzima upo busy kusambaza uongo.. so shameee!
 
Kwa hiyo ikiuzwa mimi shabiki au mwanachama wa simba niumie au nifurahie?

Mwekezaji ana hisa zake 49% wenye simba yao wana hisa zao 51%, anayeuza timu nani hapo?

Inauzwa timu au zinauzwa hisa?
 
Biashara ya madawa ya kulevya hainaga uhakika sana, tuwe macho na wafadhili wa timu zetu wanaonekana ni mabilionea kumbe ni pesa za unga
 
Biashara ya madawa ya kulevya hainaga uhakika sana, tuwe macho na wafadhili wa timu zetu wanaonekana ni mabilionea kumbe ni pesa za unga
Kweli kabisa
 
Mkuu hata ikipigwa mnada, simba haitabadili jina kuitwa "Mayele FC".
 
Mwamedi janja janja sana njoo huku unaitwa.
 
Kwanini iuzwe? Zile 20B si ilikuwa kwa ajili ya kuendeshea timu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…