Simba mbioni kuweka rekodi Afrika

Simba mbioni kuweka rekodi Afrika

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Klabu ya Simba ya Tanzania inayoshiriki michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika hatua ya makundi iko mbioni kuweka rekodi barani Afrika kwa kuwa timu ya kwanza kufungwa magoli mengi katika hatua ya makundi.

Hadi sasa,zikisalia mechi tatu za hatua ya makundi,Simba imeshafungwa magoli 10. Ingawa Jana TP Mazembe imeizaba Club Africain mabao 8,Simba iko katika mwendo mzuri wa kuweka rekodi hiyo ya kukumbukwa Afrika.

Kila la heri watani wa jadi!
 
Klabu ya Simba ya Tanzania inayoshiriki michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika hatua ya makundi iko mbioni kuweka rekodi barani Afrika kwa kuwa timu ya kwanza kufungwa magoli mengi katika hatua ya makundi.

Hadi sasa,zikisalia mechi tatu za hatua ya makundi,Simba imeshafungwa magoli 10. Ingawa Jana TP Mazembe imeizaba Club Africain mabao 8,Simba iko katika mwendo mzuri wa kuweka rekodi hiyo ya kukumbukwa Afrika.

Kila la heri watani wa jadi!
Timu za kiafrica kila timu inakua nzuri ikiwa nyumbani kimpira wa kisayansi Al ahly wametuzidi Sana kwenye mpira na uzoefu,narudi kusema mechi ya As Vita na ile ya Jana Simba tumefungwa magoli ya kawaida Sana na ilo linatokana na uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu za kiafrica kila timu inakua nzuri ikiwa nyumbani kimpira wa kisayansi Al ahly wametuzidi Sana kwenye mpira na uzoefu,narudi kusema mechi ya As Vita na ile ya Jana Simba tumefungwa magoli ya kawaida Sana na ilo linatokana na uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,jana Mabingwa watetezi Wydad Casablanca wameshinda ugenini kwa Lobi Stars. Hapo vipi?
 
ONA MAAJABU HAYA NDANI YA MIAKA 5 ILIYOPITA

Mwaka 2014.
Yanga 1 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 1 - 0 Yanga (Cairo)
(Al Ahly akashinda 5-4 kwa penati)

Mwaka 2016.
Yanga 0 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 2 - 1 Yanga (Cairo)

Mechi nne ;-
Al ahly win 2
Yanga win 1
Sare 1

magoli ya kufunga;-
Al ahly 3
Yanga 2

hiyo inamaanisha katika mechi nne Yanga karuhusu goli 3 tu kwa Al Ahly wakati yeye pia akifunga goli mbili.

RECORD YA UNDERDOG.

Al ahly 5 - 0 Mikia SC

yaani magoli aliyofungwa katika mechi yake moja tu ni Sawa na magoli ya timu zote mbili katika mechi NNE walizocheza tena Al Ahly waliwapumzisha Key Players wao 8 , walimaliza mchezo first half hawakutaka kumaliza nguvu zao kwa Mbumbumbu. . Endapo wangeuwasha moto dk 90 basi underdog wangevunja rekodi ya Club African.

TUNAVYOITWA WA KIMATAIFA TAMBUENI SIO KAZI RAHISI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,jana Mabingwa watetezi Wydad Casablanca wameshinda ugenini kwa Lobi Stars. Hapo vipi?
Inaweza ikatokea ila marachache sana mpira wa kiafrica una matokeo ya ajabu subiri nkukumbushe Raja Casablanca 6-0 Yanga ,marudiano 3-3, zamalek 6-1 Enyimba, marudiano Enyimba kashinda 2-1,Final za mwaka Raja Casablanca 3-0 As Vita, marudiano As Vita 3-1 Raja Casablanca kwaio iyo inakukumbusha soka la Africa Kuna Mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza ikatokea ila marachache sana mpira wa kiafrica una matokeo ya ajabu subiri nkukumbushe Raja Casablanca 6-0 Yanga ,marudiano 3-3, zamalek 6-1 Enyimba, marudiano Enyimba kashinda 2-1,Final za mwaka Raja Casablanca 3-0 As Vita, marudiano As Vita 3-1 Raja Casablanca kwaio iyo inakukumbusha soka la Africa Kuna Mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,fainali ya mwaka jana, Casablanca alicheza na Al-Ahly
 
Klabu ya Simba ya Tanzania inayoshiriki michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika hatua ya makundi iko mbioni kuweka rekodi barani Afrika kwa kuwa timu ya kwanza kufungwa magoli mengi katika hatua ya makundi.

Hadi sasa,zikisalia mechi tatu za hatua ya makundi,Simba imeshafungwa magoli 10. Ingawa Jana TP Mazembe imeizaba Club Africain mabao 8,Simba iko katika mwendo mzuri wa kuweka rekodi hiyo ya kukumbukwa Afrika.

Kila la heri watani wa jadi!
Nimwendo wa viganja tu
 
ONA MAAJABU HAYA NDANI YA MIAKA 5 ILIYOPITA

Mwaka 2014.
Yanga 1 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 1 - 0 Yanga (Cairo)
(Al Ahly akashinda 5-4 kwa penati)

Mwaka 2016.
Yanga 0 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 2 - 1 Yanga (Cairo)

Mechi nne ;-
Al ahly win 2
Yanga win 1
Sare 1

magoli ya kufunga;-
Al ahly 3
Yanga 2

hiyo inamaanisha katika mechi nne Yanga karuhusu goli 3 tu kwa Al Ahly wakati yeye pia akifunga goli mbili.

RECORD YA UNDERDOG.

Al ahly 5 - 0 Mikia SC

yaani magoli aliyofungwa katika mechi yake moja tu ni Sawa na magoli ya timu zote mbili katika mechi NNE walizocheza tena Al Ahly waliwapumzisha Key Players wao 8 , walimaliza mchezo first half hawakutaka kumaliza nguvu zao kwa Mbumbumbu. . Endapo wangeuwasha moto dk 90 basi underdog wangevunja rekodi ya Club African.

TUNAVYOITWA WA KIMATAIFA TAMBUENI SIO KAZI RAHISI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye makundi mlimaliza mkiani na point moja hamuoni aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza ikatokea ila marachache sana mpira wa kiafrica una matokeo ya ajabu subiri nkukumbushe Raja Casablanca 6-0 Yanga ,marudiano 3-3, zamalek 6-1 Enyimba, marudiano Enyimba kashinda 2-1,Final za mwaka Raja Casablanca 3-0 As Vita, marudiano As Vita 3-1 Raja Casablanca kwaio iyo inakukumbusha soka la Africa Kuna Mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi mnayo maana ni viganja tu,inasikitisha Hadi karne ya 21 mnakula 5 5 tu
 
Congo ilitumika pakiti ya kondom moja kamili na pakiti ya pili walibakisha kondom moja.
Jana hivyo hivyo,
 
Back
Top Bottom