ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Simba huyu mwalimu/msemaji atawafaa sana ikiwa mtaamua kuachana na Haji,huyu ni muhamasishaji nguli na huenda akawa hana gharama kubwa zaidi ya mshahara wa wastani na kumnunulia simu 6 za smart kwa kuanzia kazi.