Simba mfahamu kwamba Yanga siyo Dodoma Jiji, kwamba mtabebwa kizembe

Simba mfahamu kwamba Yanga siyo Dodoma Jiji, kwamba mtabebwa kizembe

Mzaleee

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,069
Reaction score
3,899
Ni kweli mnaweza kuwa na ukaribu na marefa na ndo hao mnaowatumia kuumiza timu kama azam na Dodoma jiji lakn lazima mkumbuke yanga ni kigogo wa soka hapa Tanzania hivo msitegemee kubebwa na marefa mnapokutana.

Kwanini nasema hivi,mara baada ya mchezi wa Jana mashabiki wakiongozwa na viongozi wote,Kwa pamoja wamemnyoshea kidole mwamuzi Kwa kunyimwa penati mbili.

Kiuhalisia matukio ya penati zile ni nyepesi Sana ambazo simba wamezoea kuwa wakipewa mara Kwa mara wachezapo na timu kama Dodoma jiji na azam,kitu wanashidwa kujua hii ni derby na inatazwa na watu kibao kwahy hakuna janja janja.

Na kama zile zilikuwa penati mbona hawasemi pia Camara ilivyo mchezea foul musonda ndani ya box,,,na vipi kuhusu foul ya hamza haikuwa red [emoji3532] card maana hamza alikuwa last defender.

Wanasema pia mazingira ya goli eti ile haikuwa foul,yaani okejepha ananyanyua daruga kumkabili musonda aliyekuwa anaucheza Mpira Kwa kichwa isiweje foul? Mpira wa wapi huu.

Kufugwa Kwa goli ni kiherehere cha camara kuufata Mpira nje ya lango na kuurudisha mchezoni,kijili analaumiwa Bure tu maana Mpira ulikuwa angle mbaya Sana yeye kuukoa.

Kwahy hitimisho ni kuwa simba chezeni michezo yenye haki bila janja janja na kubebwa kwenye mechi zenu zote kwenye ligi ndo mtajua quality yenu maana vinginevyo mkitana na mkubwa mzenu yanga mechi ambayo hamuwezi kubebwa mtabweka Sana kama mnavyofanya sasa hivi.

Ubaya ubwela.
 
Punguzeni ngebe basi mpira una matokeo matatu
Ngebe mnazo nyie mashabiki wa makolo n viongozi wenu Jana baada ya mchezo kiongozi wenu Magori kaandika kaangalie Instagram kwamba Camara Leo asepe kwako Conakry guinea ameuza mechi,lakn pia kamshutumu refa,nyie ndo mnangebe maana hajakubali kushidwa.
 
Nje ya mada, huwa nashangaa mtu akisema penati soft? Penati soft ni nini? Kuwa penalty ni foul (kosa) limefanyika. Je kuna kosa dogo na kosa kubwa. Makosa yote yana adhabu. Either pigo dogo, pigo kubwa, Kadi njano au nyekundu, kuonywa na refa nk
 
Nje ya mada, huwa nashangaa mtu akisema penati soft? Penati soft ni nini? Kuwa penalty ni foul (kosa) limefanyika. Je kuna kosa dogo na kosa kubwa. Makosa yote yana adhabu. Either pigo dogo, pigo kubwa, Kadi njano au nyekundu, kuonywa na refa nk
Mpira wa miguu siyo kama draft kwamba hakuna kugusana,Mpira wa miguu lazima wachezaji wafanye physical contact sasa Kuna zile za Jana zinazosemakana ni penati lakn ukitazama ni kuwa kibu alikuwa akijaribu kumdanganya refa Kwa kujiangusha kwanza refa alitumia busara Sana ilitakiwa kibu apewe na yellow card Kwa cheating.

Camara pia alifanya foul soft Kwa musonda lakn mwamuzi Kwa kutambua kuwa huu ni Mpira wa miguu physical contact ni lazima akapeta.
 
Nje ya mada, huwa nashangaa mtu akisema penati soft? Penati soft ni nini? Kuwa penalty ni foul (kosa) limefanyika. Je kuna kosa dogo na kosa kubwa. Makosa yote yana adhabu. Either pigo dogo, pigo kubwa, Kadi njano au nyekundu, kuonywa na refa nk
Ni mihemko tu, pale hakuna Penalty yoyote ambayo Simba alistahili sio Kila mguso ndani ya box ni penalty.

Mli zoeshwa vibaya na marefa wa bahasha, mpira ni mchezo wa ku gusana, kama penalty zingekua zikitolewa kwa namna Kibu alivyokua aki anguka basi mechi Moja ingeweza kufikisha penalty 5.

Quality ime amua mechi, ata wakirudiana Tena wiki ijayo Bado Simba watapoteza Tena inaweza kuwa kwa idadi kubwa ya ma bao.
 
Mpira wa miguu siyo kama draft kwamba hakuna kugusana,Mpira wa miguu lazima wachezaji wafanye physical contact sasa Kuna zile za Jana zinazosemakana ni penati lakn ukitazama ni kuwa kibu alikuwa akijaribu kumdanganya refa Kwa kujiangusha kwanza refa alitumia busara Sana ilitakiwa kibu apewe na yellow card Kwa cheating.

Camara pia alifanya foul soft Kwa musonda lakn mwamuzi Kwa kutambua kuwa huu ni Mpira wa miguu physical contact ni lazima akapeta.

Mpira wa miguu siyo kama draft kwamba hakuna kugusana,Mpira wa miguu lazima wachezaji wafanye physical contact sasa Kuna zile za Jana zinazosemakana ni penati lakn ukitazama ni kuwa kibu alikuwa akijaribu kumdanganya refa Kwa kujiangusha kwanza refa alitumia busara Sana ilitakiwa kibu apewe na yellow card Kwa cheating.

Camara pia alifanya foul soft Kwa musonda lakn mwamuzi Kwa kutambua kuwa huu ni Mpira wa miguu physical contact ni lazima akapeta.
Umenielewa kwanza ninachomaanisha. Sijazungumzia mchezo wa Jana. Nmezungumzia nadharia ya soft penalty.
 
Ni mihemko tu, pale hakuna Penalty yoyote ambayo Simba alistahili sio Kila mguso ndani ya box ni penalty.

Mli zoeshwa vibaya na marefa wa bahasha, mpira ni mchezo wa ku gusana, kama penalty zingekua zikitolewa kwa namna Kibu alivyokua aki anguka basi mechi Moja ingeweza kufikisha penalty 5.

Quality ime amua mechi, ata wakirudiana Tena wiki ijayo Bado Simba watapoteza Tena inaweza kuwa kwa idadi kubwa ya ma bao.
Mkuu soma Kwanza kabla ya kujibu. Hujaona neno nje ya mada?
 
Umenielewa kwanza ninachomaanisha. Sijazungumzia mchezo wa Jana. Nmezungumzia nadharia ya soft penalty.
Wewe ndo unatakiwa usome maelezo yangu Kwa kuelewa nimeanza Kwa sema mchezo wa Mpira siyo draft kwamba msigusane kwenye football Kuna physical contact na ndo maana wachezaji ni more muscular na Wana endurance Sana kwahy siyo mara zote ukiguswa ni penalty.
 
Wewe ndo unatakiwa usome maelezo yangu Kwa kuelewa nimeanza Kwa sema mchezo wa Mpira siyo draft kwamba msigusane kwenye football Kuna physical contact na ndo maana wachezaji ni more muscular na Wana endurance Sana kwahy siyo mara zote ukiguswa ni penalty.
Naona ni mgumu kuelewa. Nimeelezea vizuri Tu hapo. Na kuna physical contacts zipo yes na zipo zinzoruhusiwa bila nguvu ya ziada. Suala langu ni mtu anaposema Ile ni soft penalty anamaanisha nn? Ukishasema Tu neno penalty whether its soft or not, it's a foul.
 
Wewe ndo unatakiwa usome maelezo yangu Kwa kuelewa nimeanza Kwa sema mchezo wa Mpira siyo draft kwamba msigusane kwenye football Kuna physical contact na ndo maana wachezaji ni more muscular na Wana endurance Sana kwahy siyo mara zote ukiguswa ni penalty.
Unapocheza mwili wa mtu kwenye physical battle na kuacha mpira ni foul kwa sababu huu ni mchezo wa soka (mpira) sio mchezo wa mwili. Kwahiyo kucheza mwili wa mtu tayari ni kosa. Ndo maana huwa sielewi mtu akisema Ile ni soft penalty.
 
Ni kweli mnaweza kuwa na ukaribu na marefa na ndo hao mnaowatumia kuumiza timu kama azam na Dodoma jiji lakn lazima mkumbuke yanga ni kigogo wa soka hapa Tanzania hivo msitegemee kubebwa na marefa mnapokutana.

Kwanini nasema hivi,mara baada ya mchezi wa Jana mashabiki wakiongozwa na viongozi wote,Kwa pamoja wamemnyoshea kidole mwamuzi Kwa kunyimwa penati mbili.

Kiuhalisia matukio ya penati zile ni nyepesi Sana ambazo simba wamezoea kuwa wakipewa mara Kwa mara wachezapo na timu kama Dodoma jiji na azam,kitu wanashidwa kujua hii ni derby na inatazwa na watu kibao kwahy hakuna janja janja.

Na kama zile zilikuwa penati mbona hawasemi pia Camara ilivyo mchezea foul musonda ndani ya box,,,na vipi kuhusu foul ya hamza haikuwa red [emoji3532] card maana hamza alikuwa last defender.

Wanasema pia mazingira ya goli eti ile haikuwa foul,yaani okejepha ananyanyua daruga kumkabili musonda aliyekuwa anaucheza Mpira Kwa kichwa isiweje foul? Mpira wa wapi huu.

Kufugwa Kwa goli ni kiherehere cha camara kuufata Mpira nje ya lango na kuurudisha mchezoni,kijili analaumiwa Bure tu maana Mpira ulikuwa angle mbaya Sana yeye kuukoa.

Kwahy hitimisho ni kuwa simba chezeni michezo yenye haki bila janja janja na kubebwa kwenye mechi zenu zote kwenye ligi ndo mtajua quality yenu maana vinginevyo mkitana na mkubwa mzenu yanga mechi ambayo hamuwezi kubebwa mtabweka Sana kama mnavyofanya sasa hivi.

Ubaya ubwela.
Waliobebwa wanalaani kubebwa kulanina
 
img_2_1723242002146.jpg
 
Back
Top Bottom