Jana wadau wa soka walishuhudia timu ya Simba ya Dar es Salaam ikimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Tanzania bara ya vodacom kwa ushindi wa asilimia mia moja.Simba ambayo imejikita kileleni mwa msimamo kwa kujikusanyia pointi 33 katika michezo 11 imeonyesha dalili za mafanikio tangu mwanzoni mwa msimu.
Mafanikio ya Simba yamechagizwa mambo mbalimbali ikiwemo usajili wa wachezaji wenye tija katika timu.Tumeshudia rais wa TFF akitoa sifa kemkem kwa wachezaji wa simba kigeni wa Simba ambao wamekuwa na mchango mkubwa kwenye timu sambamba na wenyeji.
Hii imekuwa tofauti na timu nyingine ambazo zimejaza wachezaji wa kigeni ambao wameshindwa kuzisaidia timu zao.Hakuna budi kwa timu nyingine kuiga mfano mzuri ambao Simba imeuonyesha msimu huu.
Mafanikio ya Simba yamechagizwa mambo mbalimbali ikiwemo usajili wa wachezaji wenye tija katika timu.Tumeshudia rais wa TFF akitoa sifa kemkem kwa wachezaji wa simba kigeni wa Simba ambao wamekuwa na mchango mkubwa kwenye timu sambamba na wenyeji.
Hii imekuwa tofauti na timu nyingine ambazo zimejaza wachezaji wa kigeni ambao wameshindwa kuzisaidia timu zao.Hakuna budi kwa timu nyingine kuiga mfano mzuri ambao Simba imeuonyesha msimu huu.