PLAN B VERYFIED
Senior Member
- Aug 10, 2023
- 169
- 589
Msimu ujao timu anapewa bocco papa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hapo ni makocha 7?1. Zoran 2022 (julai -septemba akatimuliwa)..
2. Pablo Franco ( november 2021 - may 22 akatimuliwa)
3. Didier Gomes (January 2021 - October 21 chali)
4. Robertinho ( January 2023 - November 2023 chali)
5. Benchika ( December 2023 - April 2024 mweleka)
6. Hitimana ....list goes on Bado wale wakushikishwa na kupokonywa Guardiola mnene na matola... Ni noma sana
Una kichwa kigumu sana au umeamua tu kubisha !?? Hao ni sita ... Bado Mgunda kapewa timu mara3 ...matola kapewa mara 1... Wanakuwa wangapi hapo!??...Kwahiyo hapo ni makocha 7?
Makocha wana kazi sana lo wachwzaji wakivuruga kocha hana kibarua dah!
Ukweli mchunguUna kichwa kigumu sana au umeamua tu kubisha !?? Hao ni sita ... Bado Mgunda kapewa timu mara3 ...matola kapewa mara 1... Wanakuwa wangapi hapo!??...
Sababu nzito sana hii pole kwa Benchika