Simba misimu 3 makocha 7 anatafutwa kocha wa 8, mna uhakika kuwa shida yenu ni makocha?

Simba misimu 3 makocha 7 anatafutwa kocha wa 8, mna uhakika kuwa shida yenu ni makocha?

1. Zoran 2022 (julai -septemba akatimuliwa)..
2. Pablo Franco ( november 2021 - may 22 akatimuliwa)
3. Didier Gomes (January 2021 - October 21 chali)
4. Robertinho ( January 2023 - November 2023 chali)
5. Benchika ( December 2023 - April 2024 mweleka)
6. Hitimana ....list goes on Bado wale wakushikishwa na kupokonywa Guardiola mnene na matola... Ni noma sana
Kwahiyo hapo ni makocha 7?
 
Back
Top Bottom