Simba Mkataeni Ramadan Kayoko kuna siku atawaumiza pakub

Simba Mkataeni Ramadan Kayoko kuna siku atawaumiza pakub

UTOTO RAHA SANA.

UKIWA NA WACHEZAJI WA BURE KAMA HAO UTEGEMEE USHINDI NI NDOTO.

USAJILI BORA NA ACADEMY NDIO KILA KITU.

FICHA UPUMBAVU
 
Anashiriki kupoteza muda kwà kushirikiana na Timu pinzani,Anatoa kadi ovyo kwà wachezaji wa Simba,Faulo za Simba hazioni,Anawakoromea wachezaji wa Simba hata kama wanadai haki yao.Kifupi Kayoko hana hadhi ya kuchezesha ligi kuu labda ndondo cup ambako nako anaweza kuambulia kichapo amenikera saña siku ya leo what a stupid referee.
Tukuamini Kwa orodha hii ya ushakunaku?
 
Hivi wanachomlaumu huyu refa nin? Jana nimeangalia mechi mwanzo mwisho lakini sijaona alipowaumiza
Au walitaka wapewe penat za mchongo za kina kibu na saido kujiangusha?
Watu wanatumia hisia sio akili.

Inaboa sana hii, jukwaa la michezo likua la kiboya sana aisee.

Timu yako ikibebwa mtu hakemei, siku ikibebwa timu pinzani lawama kwa tff.
 
Back
Top Bottom