Simba Mkataeni Ramadan Kayoko kuna siku atawaumiza pakub

UTOTO RAHA SANA.

UKIWA NA WACHEZAJI WA BURE KAMA HAO UTEGEMEE USHINDI NI NDOTO.

USAJILI BORA NA ACADEMY NDIO KILA KITU.

FICHA UPUMBAVU
 
Tukuamini Kwa orodha hii ya ushakunaku?
 
Hivi wanachomlaumu huyu refa nin? Jana nimeangalia mechi mwanzo mwisho lakini sijaona alipowaumiza
Au walitaka wapewe penat za mchongo za kina kibu na saido kujiangusha?
Watu wanatumia hisia sio akili.

Inaboa sana hii, jukwaa la michezo likua la kiboya sana aisee.

Timu yako ikibebwa mtu hakemei, siku ikibebwa timu pinzani lawama kwa tff.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…