Wewe ni Shimba au mwananchi?nikoohapaaaa manungu nawasubiria yanga wakichukua kombe ama glass
Wagange yajayoo tu Hakuna namna
Mwamposa ni takataka kama zingine.Hii niko serious, mwota ndoto hafi mpaka itimie.
Viongozi wa simba pelekeni wachezaji wenu wakaombewe.
Chukueni serious maneno ya Benchika, hawa wamechukuliwa ufahamu wagumu kuelewa.
Ukiona mtu kama benchika kasema haya alipigwa kitu kizito kama cha diamond kwa sara.
Msidharau nimewapa na watumishi wa mungu ninaowamini.
Wakiombewa mnakuwa na uhakika na nafasi ya pili msidharau.
Yaani aseme Uto mwenzako halafu uwaambie Simba kwamba "tuliwaambia mpaka mseme"? Au Hujui Pdidy yuko upande gani?Hatimaye mmesemaaaa! Tuliwaambia mpaka msemeee!πππππ
Nimejibia chini ya meseji ya OKW BOBAN SUNZU ambaye ni mnyama kindakindaki! Sema sikufanya ku-quote meseji yake! Amesema Simba viongozi na wachezaji ni takataka!!ππππYaani aseme Uto mwenzako halafu uwaambie Simba kwamba "tuliwaambia mpaka mseme"? Au Hujui Pdidy yuko upande gani?