Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Wapo humu wanaohudhulia mazoeziHao simba ndo unawauliza humu jf kama wamerekebisha hiyo namba 10?
Mpira ni mchezo wa wazi na hata sisi tusio makocha tunaweza ona ombwe lilipoInategemea na benchi la ufundi. Je benchi la ufundi linajua tatizo la timu yao kukosa matokeo chanya ni hiyo nafasi ya namba 10? Au inawezekana benchi la ufundi lenyewe kwa utaalamu wake linajua kitu tofauti na hiyo namba 10 kuwa ndio inasababisha isipate matokeo chanya.
Tusubiri tuone jumapili kama wamefanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza katika michezo uiliyopita kwani usiku wa deni haukawii kukucha.