Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu
Nadhani wote tumeshuhudia kwa hizi game team ilizocheza imefia kwenye namba 10. Nafasi za kufunga hazitengenezwi kabisa.
Kuelekea game za CAF je Hilo tatizo limeshapata mwarobaini?
Nawasilisha.
Nadhani wote tumeshuhudia kwa hizi game team ilizocheza imefia kwenye namba 10. Nafasi za kufunga hazitengenezwi kabisa.
Kuelekea game za CAF je Hilo tatizo limeshapata mwarobaini?
Nawasilisha.