Simba mmesikia ya Julio?

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,296
Reaction score
18,027
Nanukuu...

"Ni mapema sana kusema watachukua ubingwa wakati ndiyo mechi ya kwanza, Simba wamekuwa wakianza vizuri hivihivi kwa misimu tofauti lakini katikati ya msimu kasi yao imekuwa ikipungua kila msimu na kupoteza ubingwa wa ligi "

Mwisho wa kunukuu.
 
tangu umeanza kumjua Julio au kumsikia ni vitu vingapi ameviongelea vikatokea.julio mbali ya kucheza mpira na kuwa kocha ni kama mshabiki yoyote anayeongelea mpira sanasana anajipigia debe ili msimbazi wamrudishe afundishe
 
tangu umeanza kumjua Julio au kumsikia ni vitu vingapi ameviongelea vikatokea.julio mbali ya kucheza mpira na kuwa kocha ni kama mshabiki yoyote anayeongelea mpira sanasana anajipigia debe ili msimbazi wamrudishe afundishe
Hili kwa mfano limetokea mara nyingi tu, na litaendelea kutokea
 
mkuu, unawakumbusha jambo la msingi sana. Bila shaka shabiki pekee wa Simba anayeweza kuielewa kauli ya Julio bila unafini ni Mkuu sembo tu.

Hawa wengine ni wanazi tu.
 
"ZILIPENDWA"

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu, Simba hii ya sasa ni weka mbali na watoto. Tumeshawasha MITAMBO, Tutazima MWISHO WA MSIMU.
 
Mkuu, Simba hii ya sasa ni weka mbali na watoto. Tumeshawasha MITAMBO, Tutazima MWISHO WA MSIMU.
Sababu hasa?
Nadhani Julio ana hoja ya msingi. Ni mapema mno kusema lolote kwa sasa. kwani mechi nne mlizompa Omog tayari?
 
Sababu hasa?
Nadhani Julio ana hoja ya msingi. Ni mapema mno kusema lolote kwa sasa. kwani mechi nne mlizompa Omog tayari?

Naheshimu Mawazo yake. Mkuu ila kabla hujatafakari hoja yake, Jiulize Julio ana cheo gani ndani ya washindi wa Ngao ya Hisani 2017-18, Mabingwa watarijiwa wa VPL, FA Cup na Mapinduzi Cup wa 2017-18 Simba SC? Nyie endeleeni kumsapoti tu, Sisi tunaendelea kugawa dozi nzito nzito msimu huu. Alafu Mkuu nasikia zile 7 ilikua ni dozi yenu?
 
Mabingwa watarajiwa wapo wanne mwaka huu. Perennial Champions Yanga na wengine watatu to be defined
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…