Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Nanukuu...
"Ni mapema sana kusema watachukua ubingwa wakati ndiyo mechi ya kwanza, Simba wamekuwa wakianza vizuri hivihivi kwa misimu tofauti lakini katikati ya msimu kasi yao imekuwa ikipungua kila msimu na kupoteza ubingwa wa ligi "
Mwisho wa kunukuu.
"Ni mapema sana kusema watachukua ubingwa wakati ndiyo mechi ya kwanza, Simba wamekuwa wakianza vizuri hivihivi kwa misimu tofauti lakini katikati ya msimu kasi yao imekuwa ikipungua kila msimu na kupoteza ubingwa wa ligi "
Mwisho wa kunukuu.