Simba mnalala kwa Nkana. Tunawapeleka kwa Babu yetu toka Congo hamtoki

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Ili jiji litulie na sisi yanga tuwe na amani na mwendelezo wa kipigo kwa wapinzani wetu nkana wameingia hapa jana na sasa wanakutanishwa na mzee wetu mutu ya kongo.

Mlidhani kwa kumtambua yule wa morogoro mtatuweza. Tuna mzee wetu ambaye pamoja tumedhamiria kuwaonesha kabumbu linachezwaje.

Endeleeni kujitapa na kandanda leo na wachezaji wenu. Sisi tutawaonesha sasa kuwa mpira si pesa wala si wachezaji wazuri.

Mnapigwa hapa hapa kwenu. Tunaungana na nkana rasmi kwa kuwapa kila support ili mpate kichapo heavy nyau nyie.

Na safari hii kwenye ligi mkijitahidi ni nafasi ya tatu.
 
mhhh haya tunasubiri tuone
 
Kwahiyo kwa mara ya kwanza mnaenda kuvaa uzi mwekundu au mweupe,ambazo ni rangi za Nkana FC?Ama kweli zama zimebadilika.
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…