Simba mnatupa pressure mambo gani gani ya ki delicious hayo?

Simba mnatupa pressure mambo gani gani ya ki delicious hayo?

Shikamoo jazz yule mzungu mropokaji kawashika vibaya
 
Tatizo sio Omog, tatizo Manara na tambo za kuwafurahisha mashabiki...
Sioni usajili unaopongezwa Simba.. Wahenga wasio na msaada wowote na majina ya zamani....... Wanapochelewa Simba ni kumuwazia Yanga siku zote na akili yao imegota hapo, ndio maana wanawaza kuifunga Yanga, na Yanga wanawaza kuchukua ubingwa.. Hiyo ndio tofauti kubwa.... Na mwaka huu Yanga ni bingwa mara 4 mfululizo... Subir utaona!

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
Sio kufuga njiwa tu, ndio ujue bei ya mtama. Je ukiwa mkaanga mabisi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom