Simba mnaweza Kujifunza kwa Kilichomkuta Kaizer Chiefs Leo, ila kwakua nyie ni sikio la kufa subirini tarehe 8

Simba mnaweza Kujifunza kwa Kilichomkuta Kaizer Chiefs Leo, ila kwakua nyie ni sikio la kufa subirini tarehe 8

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari Hongera na weekend!

Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu.

Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi ila sasa kumbe nae Pre Season alikua anacheza na wale wa Ligi ya Mbuzi so akawa anajipima nao daily anawaweka, Leo kakutana na Yanga wamebaki kuulizana tu ndio mlikua mnasema mpo tayar na Ligi na kua NABI kajipata kumbe bado hivi?

Sa ndio kitu Simba Mnafanya huko mnacheza na Team za Ligi daraja la 3 mkija tarehe 8 mkachezea 5 zingine Msitufukuzie Mangungu wetu.

#Usiku Mwema
 
Batiki likisema limesema.
FB_IMG_1722192138939.jpg

Kwani ni uongo kua mnacheza na timu za daraja la tatu?
 
Habari Hongera na weekend!

Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu.

Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi ila sasa kumbe nae Pre Season alikua anacheza na wale wa Ligi ya Mbuzi so akawa anajipima nao daily anawaweka, Leo kakutana na Yanga wamebaki kuulizana tu ndio mlikua mnasema mpo tayar na Ligi na kua NABI kajipata kumbe bado hivi?

Sa ndio kitu Simba Mnafanya huko mnacheza na Team za Ligi daraja la 3 mkija tarehe 8 mkachezea 5 zingine Msitufukuzie Mangungu wetu.

#Usiku Mwema
Watakwambia yanacheza majini
 
Habari Hongera na weekend!

Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu.

Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi ila sasa kumbe nae Pre Season alikua anacheza na wale wa Ligi ya Mbuzi so akawa anajipima nao daily anawaweka, Leo kakutana na Yanga wamebaki kuulizana tu ndio mlikua mnasema mpo tayar na Ligi na kua NABI kajipata kumbe bado hivi?

Sa ndio kitu Simba Mnafanya huko mnacheza na Team za Ligi daraja la 3 mkija tarehe 8 mkachezea 5 zingine Msitufukuzie Mangungu wetu.

#Usiku Mwema
Sasa kuifunga Kaizer chiefs ni kitu ya kututambia....?

Na hapo mjue mmecheza na timu B.
20240729_051332.jpg
 
Habari Hongera na weekend!

Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu.

Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi ila sasa kumbe nae Pre Season alikua anacheza na wale wa Ligi ya Mbuzi so akawa anajipima nao daily anawaweka, Leo kakutana na Yanga wamebaki kuulizana tu ndio mlikua mnasema mpo tayar na Ligi na kua NABI kajipata kumbe bado hivi?

Sa ndio kitu Simba Mnafanya huko mnacheza na Team za Ligi daraja la 3 mkija tarehe 8 mkachezea 5 zingine Msitufukuzie Mangungu wetu.

#Usiku Mwema

Screenshot_2024-07-28-17-55-22-681_com.android.chrome~2.jpg
 
Kwamba Kaizer ni sawa na Telcom? Yan kocha NABI halaf unataka uilinganishe na Telecom jamaa watoto wako wakiona hiki unachokileta humu watajiuliza kama mzazi wao una akili Timamu kweli?
Ndiyo kuna vijana wa miaka 18,(ambao mnawaita watoto), je wangeli ifunga yanga? Si ajabu kusema yanga imefungwa na watoto hata simba ikipigwa kono, hiyo tarehe 8-08-2024, mtasema ni watoto hahaha, maji ukiyavulua nguo sharti uyaoge yaani timu kubwa ichezeshe vijana wa miaka 18 tena timu ya pili Africa kwa utajiri,(ukwasi), bila kuwajua km wanaweza. Nisawa na kusema,( if you do not know where you are going any road will take you there, (usipojua unako kwendabbarabara yoyote itakupeleka huko usikokujua).
 
Habari Hongera na weekend!

Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu.

Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi ila sasa kumbe nae Pre Season alikua anacheza na wale wa Ligi ya Mbuzi so akawa anajipima nao daily anawaweka, Leo kakutana na Yanga wamebaki kuulizana tu ndio mlikua mnasema mpo tayar na Ligi na kua NABI kajipata kumbe bado hivi?

Sa ndio kitu Simba Mnafanya huko mnacheza na Team za Ligi daraja la 3 mkija tarehe 8 mkachezea 5 zingine Msitufukuzie Mangungu wetu.

#Usiku Mwema
Mpira hauko hivyo. Kajifunze tena. Hata Ihefu ilipowafunga Yanga haikuwa bora. Nyie ndo ambao huwa mnazima uwanjani. Mpira una matokeo 4. 1.Kushinda. 2.Kufungwa. 3. Kusuluhu 4. Inatokana na anayetangaza kura............. VAR controller. Ref. Mamelod v/s Yanga
 
Ka
Mpira hauko hivyo. Kajifunze tena. Hata Ihefu ilipowafunga Yanga haikuwa bora. Nyie ndo ambao huwa mnazima uwanjani. Mpira una matokeo 4. 1.Kushinda. 2.Kufungwa. 3. Kusuluhu 4. Inatokana na anayetangaza kura............. VAR controller. Ref. Mamelod v/s Yanga
Kwamba unaota asubui hii kuwa simba atamfunga yanga!!!! Naomba unitajie first eleven ya simba mkuu
 
Ndiyo kuna vijana wa miaka 18,(ambao mnawaita watoto), je wangeli ifunga yanga? Si ajabu kusema yanga imefungwa na watoto hata simba ikipigwa kono, hiyo tarehe 8-08-2024, mtasema ni watoto hahaha, maji ukiyavulua nguo sharti uyaoge yaani timu kubwa ichezeshe vijana wa miaka 18 tena timu ya pili Africa kwa utajiri,(ukwasi), bila kuwajua km wanaweza. Nisawa na kusema,( if you do not know where you are going any road will take you there, (usipojua unako kwendabbarabara yoyote itakupeleka huko usikokujua).
Hivi ingekua utu uzima ndio Mpira si hata wewe ungekua ushasajiliwa hapo Yanga sijui akili zako hua unazitumia wapi!!!

Ila kuna msemo aliwahi usema Sir Matt Busby alisema hivi If you're good enough you're old enough kama hutauelewa huu msemo basi utaishia kua unasema hata kina MAINOO watoto hata kina YAMAL watoto kinachoangaliwa sio Umri bali huyo mtu anauwezo ingekua Umri basi Leo Yamal asingecheza Spain huyo wa 18 Years ana uwezo na anaaminiwa na Kocha hilo ndio la Msingi
 
Back
Top Bottom