Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Kama unaona Tdhabalala anasababisha ukuta uvunjike basi ujue mmoja kati ya kiungo mkabaji au winga wa kushoto anashindwa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Tshabalala.Kuna mechi siikumbuki Onyango alishecheza beki mbili Tena alicheza vizuri na cross akawa anapiga kuhusu Shabalala kosa la kwanza anapokuwa uwanjani anawaza kushambulia pia anapenda kukaa na mpira muda mrefu ni kama anapunguza Kasi ya timu, anapenda kutoa pasi za uchonganishi na akikutana na winga mwenye Kasi mi tatizo ingawa na mara nyingi anasababisha ukuta wa Kasi uvunjike kwani madhaifu yake yanawafanya mabeki wa kati watoke sehemu yao na kwenda kumsaidia Huku wakiacha eneo lao wazi
Ni kweli analo tatizo la kuhold mpira muda mrefu hivyo kupooza mashambulizi.
Kuhusu pasi nakupinga. Naamini Tshabalala ni mcheza anayetoa pasi nzuri sana kwenye nafasi ila inatokea muhusika akawa hayupo makini.