NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
atakuwa age mate wa kagere...Hajafika 40 huyo?
Acha kejeli . Matusi ya nini sasa??Kimba Acha Abaki Huko Huko
Hajafika mkuu. 30+Hajafika 40 huyo?
Unajua Kifupi Cha Hilo Jina?Acha kejeli . Matusi ya nini sasa??
Hajafika mkuu. 30+
Kagere ana umri gani mkuu? Wachezaji wangapi simba ni over 30+ ?? Thanks for your views lakini mkuu.Umemuangalia wapi??? Mbona kuna team nyingi sio lazima Simba maana Kama unataka kizuri kutoka kwa mwai basi not at his age.
Jibu hoja kwa point. This is childish!Msajili akuchezee wew
Aje kukaa benchi au wapi sasa simba anayesajili wachazaji no kidevu na sio kiongozi kama zamani Hugo labda aende yanga maana naona atacheza kikosi cha kwanza huku Luna chama, okwi ,kagete, bocco, wawa ,mkude , sion atacheza WAP haya bench huyupo kama kakutuma mwambie akauze maembe
haende ndo nini mkuu??Sasa si haende Yanga..