Simba mrejesheni dimbani Jonas Mkude

Kuna kitu wachezaji wetu wajifunze kutoka kwa Lwanga uwezo wa kukaba vzr kupiga pasi na zikafika mpira ulipo na yy yupo anafanya simba itulie mno ni moja kati ya sajili bora simba iliifanya
Yes nakubali ila mkude fundi mkuuu
 
Nidhamu kwenye kazi yako ni jambo la kwanza kabisaa ili kuendelea kufanya vizuri.
Wachezaji wa kibongo ni bangi zinawaharbu..ila kwa sasa watajifunza tuu kuwa na nidhamu..mana wachezaji wa nje wanareplace nafasi zao..
Mkude ameomba radhi naomba tumsamehe mtoto wetu
 
Yeah tusisahau kilichotuvusha baada ya kuvuka namaanisha wakiwepo wote wawili lwanga na mkude mbna mambo yatazidi kuwa mazuri
 
Mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba binafsi toka huyu jamaa awe nje ya uwanja pengo lake linaoneka na hata baada ya kusajili Thadey Lwanga. Namshauri kocha wangu wa simba amrejeshe dimbani shujaa wetu jonas mwana mkude.

Naomba kuwasilisha
Hujui football my brother better jikalie kimyaaa tu.

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi ni simba kindandaki sijawahi kuipenda utopolo
Unachosema hapa na ulichoandika ni tofauti. Mkude mchukue wewe ukacheze naye. Ungekuwa simba ungesema tu arudi but kuonesha wewe utopolo unadai kuna pengo. Una beef na Lwanga? Au wivu?au wewe ndo Mkude mwenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…