Simba msijifiche kwenye kichaka cha kumfunga Whydad kwa Mkapa

Simba msijifiche kwenye kichaka cha kumfunga Whydad kwa Mkapa

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mambo ni magumu kiuhalisia, Kujifariji sio vibaya na kujipa moyo pia lakini isiwe too much,,,

Mtu ambaye ni mfatiliaji mzuri wa mpira na ambae amewafatilia vizuri awa Whydad kwenye mechi zote za ugenini walizocheza atakubaliana na mimi kuwa uwa ni timu inayocheza kwa malengo na umakini mkubwa, ugenini uwa awafunguki uwa wanacheza kwa tempo ya chini sana lakini kwa tahadhari kubwa, uwa awataki uwafunge zaidi ya goli moja endapo utawabahatisha wakijua moja kwa moja ukiwafata kwao wanamalizia walichokipanga,

Whydad awa wamefungwa na rivers goli 2-1 pale nigeria wakiwa na plan yao ile ile ya kucheza taratibu na kupoteza muda but Rivers alikwenda Morocco akachezea goli 6 kwa mtungi, wanakupush kwa nguvu kuakikisha ndani ya dk 20 za mwanzo uwe usharuhusu goli na apo ndio wanaanza kukusaka wanavyotaka, Tumeona mpira umekwisha wakaanza kupongezana wanajua wanachokifanya, Mechi ya leo licha ya simba kuroga kwa kila namna lakini wameambulia kigoli kimoja tu ambacho ndio icho wanajifariji nacho na kuonyesha aijawai kutokea jambo kama ilo🤔🤔🤔 Wenye akili timamu wanapiga hesabu za kuvuka hatua inayofata wengine wanaweka sherehe ya kumfunga mwarabu nyumbani goli moja iyo ndio tofauti ya wao na sisi, Mwenye akili timamu nafikiri atakuwa amenielewa,

Mwisho wa siku anayefanikiwa ni yule aliyevuka, na goli lako linakuwa halina maana yoyote, Wenzetu wanacheza kwa malengo na awachezi kufurahisha genge la mashabiki kwenye jambo ambalo wanaona aliwezi kuwafikisha popote, Kwa maana iyo simba ata angeshinda goli 2 bado alikuwa anakwenda kuondoshwa kule moroco, Ata kama wangebeba waganga wao wote wakaenda nao isingesaidia kitu,

Nawakumbusha tena kumfunga Whydad sio jambo geni, wamefungwa pia na rivers goli 2 pale nigeria ivyo mtafute kitu kingine cha kujifariji na sio icho, povu ruksa!!!!
 
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio o geni, wamefungwa pia na rivers goli 2 pale nigeria ivyo mtafute kitu kingine cha kujifariji na sio icho, povu ruksa!!!!
Huu ni mtoano ndugu yangu, haya sio makundi!
 
Ni jambo la ajabu sana kudhani unayoyajua wewe ni quran kuwa imeshushwa kwako tu.

Waliyowahi kufanya Wydad nyuma, yapo kwenye records, Simba wanapata goli moja leo wakijua fika kuwa Wydad wana mipango yao kwao, lakini pia ubora wa kikosi cha Wydad dhidi ya Simba ndio uliochagiza matokeo hayo.

Simba walipenda kuwa na jamaa zao Yanga huku, ila UBORA wa kikosi cha YANGA dhidi ya CC ndio ulioamua nafasi ya YANGA.

Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa Simba.
 
Ni jambo la ajabu sana kudhani unayoyajua wewe ni quran kuwa imeshushwa kwako tu.

Waliyowahi kufanya Wydad nyuma, yapo kwenye records, Simba wanapata goli moja leo wakijua fika kuwa Wydad wana mipango yao kwao, lakini pia ubora wa kikosi cha Wydad dhidi ya Simba ndio uliochagiza matokeo hayo.

Simba walipenda kuwa na jamaa zao Yanga huku, ila UBORA wa kikosi cha YANGA dhidi ya CC ndio ulioamua nafasi ya YANGA.

Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa Simba.
Kombe la robo fainali sherehe zitafanyika wapi labda!
 
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mambo ni magumu kiuhalisia, Kujifariji sio vibaya na kujipa moyo pia lakini isiwe too much,,,
ACHA UJINGA
 
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mambo ni magumu kiuhalisia, Kujifariji sio vibaya na kujipa moyo pia lakini isiwe too much,,,
Tuliipiga timu mmoja yenye kiherehere last week goli 2 mpaka leo wapo kimyaaa
 
Basi leta timu yako tena tukubomoe mbili tena
 

Attachments

  • FB_IMG_16821772327197084.jpg
    FB_IMG_16821772327197084.jpg
    56.3 KB · Views: 3
Hii tm ina wapumbavu wengi sana,Luc na Manara hawakukosea waliposema wenye akili ni wawili na yanabweka ka umbwa
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mbo geni, wamefungwa pia na rivers goli 2 pale nigeria ivyo mtafute kitu kingine cha kujifariji na sio icho, povu ruksa!!!!
 
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mambo ni magumu kiuhalisia, Kujifariji sio vibaya na kujipa moyo pia lakini isiwe too much,,,

Mtu ambaye ni mfatiliaji mzuri wa mpira na ambae amewafatilia vizuri awa Whydad kwenye mechi zote za ugenini walizocheza atakubaliana na mimi kuwa uwa ni timu inayocheza kwa malengo na umakini mkubwa, ugenini uwa awafunguki uwa wanacheza kwa tempo ya chini sana lakini kwa tahadhari kubwa, uwa awataki uwafunge zaidi ya goli moja endapo utawabahatisha wakijua moja kwa moja ukiwafata kwao wanamalizia walichokipanga,

Whydad awa wamefungwa na rivers goli 2-1 pale nigeria wakiwa na plan yao ile ile ya kucheza taratibu na kupoteza muda but Rivers alikwenda Morocco akachezea goli 6 kwa mtungi, wanakupush kwa nguvu kuakikisha ndani ya dk 20 za mwanzo uwe usharuhusu goli na apo ndio wanaanza kukusaka wanavyotaka, Tumeona mpira umekwisha wakaanza kupongezana wanajua wanachokifanya, Mechi ya leo licha ya simba kuroga kwa kila namna lakini wameambulia kigoli kimoja tu ambacho ndio icho wanajifariji nacho na kuonyesha aijawai kutokea jambo kama ilo🤔🤔🤔 Wenye akili timamu wanapiga hesabu za kuvuka hatua inayofata wengine wanaweka sherehe ya kumfunga mwarabu nyumbani goli moja iyo ndio tofauti ya wao na sisi, Mwenye akili timamu nafikiri atakuwa amenielewa,

Mwisho wa siku anayefanikiwa ni yule aliyevuka, na goli lako linakuwa halina maana yoyote, Wenzetu wanacheza kwa malengo na awachezi kufurahisha genge la mashabiki kwenye jambo ambalo wanaona aliwezi kuwafikisha popote, Kwa maana iyo simba ata angeshinda goli 2 bado alikuwa anakwenda kuondoshwa kule moroco, Ata kama wangebeba waganga wao wote wakaenda nao isingesaidia kitu,

Nawakumbusha tena kumfunga Whydad sio jambo geni, wamefungwa pia na rivers goli 2 pale nigeria ivyo mtafute kitu kingine cha kujifariji na sio icho, povu ruksa!!!!
Kabla ya mechi mlisema oooh! Simba itqpigwa nje ndani simba wakasema sawa wameingia uwanjani wamefunga goli moja mnaanza tena oooh! Kuifunga waydad sio jambo geni mara walisha fungwa na rivers sasa nyinyi mlitakaje labda !?

Maana hakuna ushind ambao simba atashinda mtaukubali kwamba ni ushindi halali wa jitihada yaan nyie kila ushind wa simba ni wa bahati ,hivi mpoje nyie mbona mnaroho mbaya kila wakati..
 
Nimeona baada ya mechi kuisha mashabiki wa simba wakijifagilia kumfunga whydad kwa mkapa kana kwamba wao ndio timu ya kwanza kumfunga, Ni kawaida ya watanzania kusifia vitu vidogo vidogo pindi wanapokosa hoja ama wanapoona mambo ni magumu kiuhalisia, Kujifariji sio vibaya na kujipa moyo pia lakini isiwe too much,,,

Mtu ambaye ni mfatiliaji mzuri wa mpira na ambae amewafatilia vizuri awa Whydad kwenye mechi zote za ugenini walizocheza atakubaliana na mimi kuwa uwa ni timu inayocheza kwa malengo na umakini mkubwa, ugenini uwa awafunguki uwa wanacheza kwa tempo ya chini sana lakini kwa tahadhari kubwa, uwa awataki uwafunge zaidi ya goli moja endapo utawabahatisha wakijua moja kwa moja ukiwafata kwao wanamalizia walichokipanga,

Whydad awa wamefungwa na rivers goli 2-1 pale nigeria wakiwa na plan yao ile ile ya kucheza taratibu na kupoteza muda but Rivers alikwenda Morocco akachezea goli 6 kwa mtungi, wanakupush kwa nguvu kuakikisha ndani ya dk 20 za mwanzo uwe usharuhusu goli na apo ndio wanaanza kukusaka wanavyotaka, Tumeona mpira umekwisha wakaanza kupongezana wanajua wanachokifanya, Mechi ya leo licha ya simba kuroga kwa kila namna lakini wameambulia kigoli kimoja tu ambacho ndio icho wanajifariji nacho na kuonyesha aijawai kutokea jambo kama ilo🤔🤔🤔 Wenye akili timamu wanapiga hesabu za kuvuka hatua inayofata wengine wanaweka sherehe ya kumfunga mwarabu nyumbani goli moja iyo ndio tofauti ya wao na sisi, Mwenye akili timamu nafikiri atakuwa amenielewa,

Mwisho wa siku anayefanikiwa ni yule aliyevuka, na goli lako linakuwa halina maana yoyote, Wenzetu wanacheza kwa malengo na awachezi kufurahisha genge la mashabiki kwenye jambo ambalo wanaona aliwezi kuwafikisha popote, Kwa maana iyo simba ata angeshinda goli 2 bado alikuwa anakwenda kuondoshwa kule moroco, Ata kama wangebeba waganga wao wote wakaenda nao isingesaidia kitu,

Nawakumbusha tena kumfunga Whydad sio jambo geni, wamefungwa pia na rivers goli 2 pale nigeria ivyo mtafute kitu kingine cha kujifariji na sio icho, povu ruksa!!!!
Huna lolote tuache boss 😀
 
Back
Top Bottom