Simba msijifiche kwenye kichaka cha kumfunga Whydad kwa Mkapa

Kweli ujinga ni kipaji.

Mleta mada umebarikiwa.
 
Kwahiyo wewe kwa akili zako umeona Simba hawana malengo??
Mbona mnahangaika nyie?
Si mtulizane huko, kinachowauma nn?
 
We kijamaa unaonekana una gubu sana ,km una mke basi anayo kazi.
Mpira haupo hivyo na siku hazifanan.
 
Simba mbona haijawahi kucheza na hiyo timu uliyoandika wewe umeitoa wap
 
Acha na takwimu za mchongo. Hakuna anayejua Matokeo game ya marudiano..

Dakika 90 zitaamua, history is the past it doesn't help anything.
 
Basha wako keshapakatwa wewe unalialia ili iweje! Kumfunga tu wydad ni tukio la kihistoria kimpira, hata tukitolewa kwao ktk mechi ya marudiano kwa maana kila mtu kashinda kwake, ila kwa sasa basha wako anaijua simbs sc, anamjua baleke, anaujua uwanja wa mkapa, ameliona vibe la wana simba sc, acha utoto.
 
Sisi tumeshakubaliana tukienda Morocco, tunapaki basi mwanzo mwisho.

Yaani siku hiyo tunachezesha mabeki tupu. Halafu tukipata tu sare ya 0-0, tunakuwa tumefuzu hatua ya nusu fainali, kwa mara ya kwanza kabisa. Kwa kweli tumechoka kuishia kwenye hii hatua ya robo fainali.
 
Mleta uzi utakua unazungumzia Simba B ndo walicheza na hao unaowaita Whydad au mi ndo sijakuelewa, maana Simba SC ya wakubwa wamecheza na wakubwa wenzao Wydad AC na mchezo baada ya dakika 90 kukamilika SSC 1-0 WAC.
 
Hebu ukitoka Rivers United pale Mito Ilippungana pitia Morocco. Sio ya Kinondoni. Omba kamechi kakujiweka sawa halafu njoo ulete majibu.

Subiri mahesabu yako leo jioni utaiona hesabu ya Mito
 
Wanakuwa kama mijusi juu ya jiwe. Jua likiwawakia joto ya jiwe ikapanda wanasogea.

Achana na hawa mijusi, joto la jiwe wameshalipata. Acha wasogee
 

Ungekua una fuatilia mpira ungejua kuandika wydad
 
Jamaa kaongea ukweli lakini mambumbu yanamshambulia ..GUVU MOYAAA
 
Ilianza simba msijifiche kwenye kumfunga vipers sababu horoya atawapiga hapo hapo kwenu,ikaja simba msifurahi kumfunga horoya,sababu yanga watawapiga nying,ikafuata simba msijidanganye kumfunga yanga manake wydad atawakanda kibao ....sasa imekuja simba msifurahi kumfunga wydad,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utopolo mna hali ngumu sana asee ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…