ArchitectOffic2
New Member
- Jul 27, 2023
- 1
- 1
Ukwelii kabisa yaniiYale yale ya Miqueson
Salaam,
Viongozi wa Simba nawapa tahadhari tena msije kukurupuka kumsajili Victorien Adebayor raia wa Niger aliyeshuka kiwango sana
Mchezaji huyu amepoteza namba kwenye taifa dogo kimpira Niger
Ni miaka miwili yuko bench kutokana na kushuka kiwango toka alipohamia RS Berkane hawajawahi kucheza hata mchezo wa kirafiki
Na sasa yuko Amazulu akisuburia benchi na team ya Amazulu ina mpango wa kumwacha kama free agent
Za ndani ni kwamba week iliyopita alifika Dar es Salaam kusaini Simba
Simba wanaendelea kukurupuka kwenye usajili kama kawaida yao na wakipigwa 5G wataanza kulalama ati wachezaji wamerogwa
Scouting team ya Simba imelala hadi wameamua kusajili hili garasa Adebayor
5G itawakuta tena miaka 10 mfululizo hadi viongozi wenu watakapo pata akili
Simba viongozi wana matatizo, wanataka adebayor(winger wa kushoto) je simba ina shida ya winger,? Je mido haina shida, je wasaidizi wa kapombe na tshabalala wapo?
Chama langu siku hizi limekuwa la hovyo sana, mijitu iliyopo pale huenda haijui soka, ni mijitu ya kukurupuka.
Wanayoyafanya pale ni kama wanasiasa wa bongo tu, kupanda gari la milioni mia 4 ila akifika kwenu anapanda punda mjione mko nae sawa. 😂🤣
Kwani ni kweli wako serious kumchukua adebayor?Simba nitawadharau sana wakimsajili Adebayor nitawaona wehu
Kvant hizo na sungura na double kick mkuuTayari jack daniel zimekaa mahala pake.
Simba nitawadharau sana wakimsajili Adebayor nitawaona wehu
Basi ni kweli huko nako kuna mambumbumbu km alivyosema RageNdiyo ashasaini mkataba wa awali
Kabisa mkuuKvant hizo na sungura na double kick mkuu
Dogo kawa mzito sana, sijui kawajeYale yale ya Miqueson
Wanakariri wachezaji.Yale yale ya Miqueson