Simba msimsajili Mohammed Hussein. Mwacheni aende anakopelekwa na Mzozo na Wachambuzi. Mshukuruni kwa huduma yake, Mwacheni!

Simba msimsajili Mohammed Hussein. Mwacheni aende anakopelekwa na Mzozo na Wachambuzi. Mshukuruni kwa huduma yake, Mwacheni!

Huyo haendi popote anabaki hapo hapo Simba hiyo michezo ya mawakala,Kama wakala wa Pogba anavyo ijambishaga Man.
kujambisha hata manula sasa hivi anajambaisha umeona kuna mtu anasema manula kama vipi asepe? ni kwa sababu hatusajisikia meneja wake akiitukana simba wala akishirikiana na waandishi makanjanja kulazimisha, ushasema mchezaji wako anadharauliwa hathaminiki ila yanga kuna dau kubwa sasa si uende naye yanga?

Unalazimisha simba ya nini? kauli za huyo meneja na mshkaji wake shaffih dauda zinakera sana tena mnoo
simba walishakubali kumpa signing fee ya milions 68 na mshahara milions 8 kwa mwezi yeye akatakaa fee ya 70 milllions ni kwa mujbu wa maelezo ya mchezaji sasa wakati wanabishania milions 2 tukasikia matusi ya meneja.
walahi kama simba wakikubali kumsajili tena itakuwa dharau kubwa sana hii huyo pogba unayemtolea mfano kwani washabiki wa man utd hawajamchoka?walimumabia aende tu yaani issue ya mchezaji mmoja inataka toa focus ya team nzima?

huyo zimbwe akili yake sasa hivi iko sawa kweli kucheza hata mechi ya tarehe 8 na yanga? au meneja atampa maelekezo tofauti
 
Hakuna mchezaji atakayetoka simba akacheza club za hapa ndani na akawa katika kiwango bora ambacho watu alikua nacho simba HAKUNA

Huyo dogo akisepa nafasi yake pale simba itakaliwa na mchezaji mkali mara kumi zaidi yake na huko atapoenda hata ng'aa kwasababu ubora wake ulitegemea organization nzima ya kikosi bora ambacho kina wachezaji bora wa muda wote

Nauona mwisho wa huyo dogo kisoka nje ya simba
david bryson wa kmc anafaa kusaidiana na gadiel michael au mzoefu kama david luhende wa kagera
 
david bryson wa kmc anafaa kusaidiana na gadiel michael au mzoefu kama david luhende wa kagera
No... saizi tunasajili wachezaji wa nje wanaoshiriki club bingwa wenye standards za juu hawa wa ndani sikuhizi wakipiga chenga mbili tu wanaanza kusumbua
 
kujambisha hata manula sasa hivi anajambaisha umeona kuna mtu anasema manula kama vipi asepe? ni kwa sababu hatusajisikia meneja wake akiitukana simba wala akishirikiana na waandishi makanjanja kulazimisha, ushasema mchezaji wako anadharauliwa hathaminiki ila yanga kuna dau kubwa sasa si uende naye yanga?

Unalazimisha simba ya nini? kauli za huyo meneja na mshkaji wake shaffih dauda zinakera sana tena mnoo
simba walishakubali kumpa signing fee ya milions 68 na mshahara milions 8 kwa mwezi yeye akatakaa fee ya 70 milllions ni kwa mujbu wa maelezo ya mchezaji sasa wakati wanabishania milions 2 tukasikia matusi ya meneja.
walahi kama simba wakikubali kumsajili tena itakuwa dharau kubwa sana hii huyo pogba unayemtolea mfano kwani washabiki wa man utd hawajamchoka?walimumabia aende tu yaani issue ya mchezaji mmoja inataka toa focus ya team nzima?

huyo zimbwe akili yake sasa hivi iko sawa kweli kucheza hata mechi ya tarehe 8 na yanga? au meneja atampa maelekezo tofauti
Huyo dogo anautani na EURO nini?

Hiyo milion 70 aliisema akiwa anajua inafananaje au alijilopokea tu?

Huyo msajili wake alipagawa na lile goli alilofunga juzi na shangwe alizopewa kwa kuipeleka simba nafasi katika ya kwanza akaona pale ndo mwanya wa kuongelea hiyo ishu

Mwache asepe ila akumbuke huko ndio watu wataenda kujua kua ubora wake ulikia unategemea na ubora wa wachezaji wengine na ndio maana alikua ana ng'aa simba
 
Huyo dogo anautani na EURO nini?

Hiyo milion 70 aliisema akiwa anajua inafananaje au alijilopokea tu?

Huyo msajili wake alipagawa na lile goli alilofunga juzi na shangwe alizopewa kwa kuipeleka simba nafasi katika ya kwanza akaona pale ndo mwanya wa kuongelea hiyo ishu

Mwache asepe ila akumbuke huko ndio watu wataenda kujua kua ubora wake ulikia unategemea na ubora wa wachezaji wengine na ndio maana alikua ana ng'aa simba
hhahahaha siyo euro bana ni shillings halafu kikubwa simba kaka ni bonus kwa mfano hii klabu bingwa pekeee first 11 kama yeye zimbwe hizo mechi 6 na zile mbili za mwanzo wameondoka na kitu kama million 60 za bonus wakishinda mechi tatu mfululizo za ligi kuna 400,000....hata hiyo 8 akipewa au kumi kwa mwezi kesho atakuja mchezaji akasaini kwa milioni 15 mshahara kwa mwezi ataanza tena kulalamika
kiwango cha zimbwe kama aki maintain kama kilivyo hata huu mkataba mpya ukifika katikati watamuita tena na kumuongeza sasa LEO YUKO JUU KESHO ANAPWAYA SAME APPLIES TO MANULA
mtu kama wawa au nyoni umri unaenda wanampa mwaka mmoja mmoja sababu wanamuamini
Aishi manula akiendelea hivi na kiwango hiki cha sasa hapa katikati simba watampandia tena dau na kurefusha mkataba
hata zimbwe inawezekana pia lakini ukifikiria tu management yake ya kihuni inachosha sana
 
Brand ya Simba inakua, thamani ya wachezaji pia iwe kubwa.
 
Brand ya Simba inakua, thamani ya wachezaji pia iwe kubwa.
Haiwi tu kubwa. Si inategemeana na huduma? Kama wakiona anafaa wanabaki naye. Wakiona hafai wanaachana naye. Zimbwe si wa kutisha hivyo.
 
kujambisha hata manula sasa hivi anajambaisha umeona kuna mtu anasema manula kama vipi asepe? ni kwa sababu hatusajisikia meneja wake akiitukana simba wala akishirikiana na waandishi makanjanja kulazimisha, ushasema mchezaji wako anadharauliwa hathaminiki ila yanga kuna dau kubwa sasa si uende naye yanga?

Unalazimisha simba ya nini? kauli za huyo meneja na mshkaji wake shaffih dauda zinakera sana tena mnoo
simba walishakubali kumpa signing fee ya milions 68 na mshahara milions 8 kwa mwezi yeye akatakaa fee ya 70 milllions ni kwa mujbu wa maelezo ya mchezaji sasa wakati wanabishania milions 2 tukasikia matusi ya meneja.
walahi kama simba wakikubali kumsajili tena itakuwa dharau kubwa sana hii huyo pogba unayemtolea mfano kwani washabiki wa man utd hawajamchoka?walimumabia aende tu yaani issue ya mchezaji mmoja inataka toa focus ya team nzima?

huyo zimbwe akili yake sasa hivi iko sawa kweli kucheza hata mechi ya tarehe 8 na yanga? au meneja atampa maelekezo tofauti
Umeona watu washakunja vibunda vyao,hii ni kitu cha kawaida kwenye soka la kibiashara hizi ni kiki kuipa presha club ili watoe fedha.
 
Umeona watu washakunja vibunda vyao,hii ni kitu cha kawaida kwenye soka la kibiashara hizi ni kiki kuipa presha club ili watoe fedha.
ni kick lakini huwa haziishiagi kwa team na CEO wake kutukanwa meneja wake zimbwe katafuta back up ya kanjanja la clouds ikawa ni ligi ya matusi sasa,presha wapigishe kama anavyofan a manula bila kuvunjiana heshima
Zimbwe na wahuni wake hawatampeleka popote nje ya Tanzania
 
Back
Top Bottom