Rudi hapa mwezi wa 5 mwaka kesho. Usije na visingizio.Upo sahihi ila bingwa ni Yanga msimu huu
Vipi yanga ameshaanza mechi za mikoani?Rudi hapa mwezi wa 5 mwaka kesho. Usije na visingizio.
hahahaaa vyura wanamwabudu kanjibhai! sasa hivi tetesi zinasema atafilisiwa mali zake sijui vyura watakuwa wageni wa nani.Vipi Mwenyekiti hewa amerudi?Au kupiga magoti hakujasaidia.Mtu anafilisiwa misukule inampigia magoti.Tembeeni kwa magoti.
Nkana Red Devils kawa punda?Wewe ni chura. Anayepigwa ni punda wa Zambia wewe punda wa nyumbani kinakuliza nini?
Yaani kumfunga Swallows nje ndani wamejiona wamechukua ubingwa wa CAF. Watu wa Rage hawa.Mikia safari imeiva,wakirudi huku kina Mbao wanajipigia
Vipi ligi imefika hata nusu?
Nina hakika mtarudi na visingizio mwezi wa tano mwakani.
Wacha wanaume tukomae kwanza na Champions League .
Bakini kushangilia timu za nje. Mlitia aibu sana kufungwa mechi 3 nyumbani tena na
vitimu vya ajabu.
Tutarudi kwenye ligi baada ya kukamilisha azma yetu ya kuingia kwenye makundi ya champions league.
Hatuwaoni nyinyi kama wapinzani wetu.Sisi tupo level nyingine. Tuna aim higher.By the way Manji amerudi?Nasikia mnamlilia mwenyekiti hewa.
Uandishi wako unaonesha ulivyo na chuki,hasira,gubu,kijicho roho ya korosho na kila aina ya roho mbaya!!Yaani Simba wacheze na kuzifunga timu za nje weye ushikwe na kiwewe?Aaaargh...hebu punguza hallucinations churaaaa!!!Simba wanashiriki kilabu bingwa nawataadharisha msije na visingizio hapo mbeleni najua mtasema tulikuwa tanshiriki klabu bingwa nawaambia ukweli msipoangalia mtamaliza ligi nyuma ya azam na yanga na klabu bingwa mtaishia Nkana hapo mtakuja kukumbuka ligi vijana hawataki kushuka daraja yanga na azam haooooo Nampa nafasi kubwa azam kuchukua ligi kuu Yule kocha anajielewa isitoshe Hana mashindano mengine makubwa nguvu yote ligi kuu
Eight goals against a weak team like Mbabane Swallows will count for nothing against Nkana Red Devils.Vipi ligi imefika hata nusu?
Nina hakika mtarudi na visingizio mwezi wa tano mwakani.
Wacha wanaume tukomae kwanza na Champions League .
Bakini kushangilia timu za nje. Mlitia aibu sana kufungwa mechi 3 nyumbani tena na
vitimu vya ajabu.
Tutarudi kwenye ligi baada ya kukamilisha azma yetu ya kuingia kwenye makundi ya champions league.
Hatuwaoni nyinyi kama wapinzani wetu.Sisi tupo level nyingine. Tuna aim higher.By the way Manji amerudi?Nasikia mnamlilia mwenyekiti hewa.