Simba mwacheni Robetino asuke timu ya kujivunia

Simba mwacheni Robetino asuke timu ya kujivunia

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
. ukichukua kikosi chote cha power dynamoo kiwe chini ya robetino basi hiyo timu itakuwa Gian in africa kupita mamelod Sun down au esparence.Ni tabia ya kittoto sana wanayoonesha wapenzi wa simba eti Robetino hafai.. Mkithubutu kumuachisha kazi Robetino basi mtegemee hata Namungo na geita gold kutokuwa wateja wenu kupata points. kama Yanga wamepata Ngeke la kumpata kocha mwenye kutandaza soka la Ulaya basi hicho kisiwe kigezo cha kumbeza Robetino aliyeongoza vizuri simba mwaka jana klabu bingwa africa.

wapenzi wa simba lazima mjue ya kuwa Power dynamoo sio timu mbovu. Hii timu imejiuliza na kusuka kikosi matata sana ambacho kama ngeke lingekuwa lao basi hata makundini klabu kama al ahly, esparence na memolod sundown wangenyosha miko juu au kusema poo kabla ya dk 90.

Simba kuponea chupuchupu ni sihara nzuri ya uimara wa kocha Robetino kutoruhusu magoli mengi.ukikichukua kikosi kizima cha power dynamoo kukisajili simba chini ya Robetino basi ujue wazi simba itafika klabu bingwa ya dunia fainali na bayen Muchen. SIMBA KUENI NA BUSARA ACHENI UTOTO WA KUMBEZA KOCHA MZURI KAMA ROBETINO!
 
CAPO DELGADO said:
Simba ya mpira Biriani ilikuwa na Wachezaji WAFUATAO.

1. Chama.
2. MIQUISSONE.
3. Bwalya.
4. Lwanga
5. Mkude

Leo simba Ina wachezaji wa kupoteza Mipira Kila Dakika kama

1. KIBU.
2. Kanute.
3. Mzamiru.
4.saido.
5. Onana nk

JIFUNZENI MPIRA MSIMLAUMU KOCHA LAUMUNI UONGOZI WENU WA KIPUMBAVU
 
1Tatizo kubwa la Simba ni uongozi.

2. Tatizo lingine la Simba ni usajili WA kibwege.

3. ROBERTINHO HANA HATIA YOYOTE.

HAPA NDIPO SHIDA ILIPOANZIA.
 
. ukichukua kikosi chote cha power dynamoo kiwe chini ya robetino basi hiyo timu itakuwa Gian in africa kupita mamelod Sun down au esparence.Ni tabia ya kittoto sana wanayoonesha wapenzi wa simba eti Robetino hafai.. Mkithubutu kumuachisha kazi Robetino basi mtegemee hata Namungo na geita gold kutokuwa wateja wenu kupata points. kama Yanga wamepata Ngeke la kumpata kocha mwenye kutandaza soka la Ulaya basi hicho kisiwe kigezo cha kumbeza Robetino aliyeongoza vizuri simba mwaka jana klabu bingwa africa.

wapenzi wa simba lazima mjue ya kuwa Power dynamoo sio timu mbovu. Hii timu imejiuliza na kusuka kikosi matata sana ambacho kama ngeke lingekuwa lao basi hata makundini klabu kama al ahly, esparence na memolod sundown wangenyosha miko juu au kusema poo kabla ya dk 90.

Simba kuponea chupuchupu ni sihara nzuri ya uimara wa kocha Robetino kutoruhusu magoli mengi.ukikichukua kikosi kizima cha power dynamoo kukisajili simba chini ya Robetino basi ujue wazi simba itafika klabu bingwa ya dunia fainali na bayen Muchen. SIMBA KUENI NA BUSARA ACHENI UTOTO WA KUMBEZA KOCHA MZURI KAMA ROBETINO!
Hii Power Dynamo ndo iisumbue Mamelod/Ahly? Umerogwa si bure.
 
We jamaa acha kujifariji Jana pipa na mfuniko ,sadiki na chitemo walikutana yaani pira akuna anayefikisha pasi tatu teyar kanyang'anywa pira papatu papatu, piga dochi kuelekea mbele, mzibeni kipa, pira kubambikiza wakigusa wajifunge alafu ndo mjifananishe na mamelodi
 
. ukichukua kikosi chote cha power dynamoo kiwe chini ya robetino basi hiyo timu itakuwa Gian in africa kupita mamelod Sun down au esparence.Ni tabia ya kittoto sana wanayoonesha wapenzi wa simba eti Robetino hafai.. Mkithubutu kumuachisha kazi Robetino basi mtegemee hata Namungo na geita gold kutokuwa wateja wenu kupata points. kama Yanga wamepata Ngeke la kumpata kocha mwenye kutandaza soka la Ulaya basi hicho kisiwe kigezo cha kumbeza Robetino aliyeongoza vizuri simba mwaka jana klabu bingwa africa.

wapenzi wa simba lazima mjue ya kuwa Power dynamoo sio timu mbovu. Hii timu imejiuliza na kusuka kikosi matata sana ambacho kama ngeke lingekuwa lao basi hata makundini klabu kama al ahly, esparence na memolod sundown wangenyosha miko juu au kusema poo kabla ya dk 90.

Simba kuponea chupuchupu ni sihara nzuri ya uimara wa kocha Robetino kutoruhusu magoli mengi.ukikichukua kikosi kizima cha power dynamoo kukisajili simba chini ya Robetino basi ujue wazi simba itafika klabu bingwa ya dunia fainali na bayen Muchen. SIMBA KUENI NA BUSARA ACHENI UTOTO WA KUMBEZA KOCHA MZURI KAMA ROBETINO!
Hii ni kejeli ila freshi
 
Back
Top Bottom