Simba na Azam zisipofanya vizuri ZICHEKWE

Simba na Azam zisipofanya vizuri ZICHEKWE

Sasa utakuwa na mbwembwe gani wakati huna Cha kusajili[emoji16]

By the way namba 6 anasubiriwa. Hoi mbwembwe Ina mwezi sasa inatrend.
Hapo ndio kauli ya rage inapoonyesha alikua sahihi,yan wachezaji wote hawq Yanga ikose wa kuwasajili 🤣
 
Uwepo wa kocha mpya ni mtihani kwa Yanga. Kwa mwaka huu, sidhani.
Kocha siku zote anabebwa na kikosi bora, ukiwa na kikosi bora ata ukimuweka boko awe kocha anaweza kufika mbali kwa maana iyo sioni yanga akiyumba zaidi ya kuendeleza pale alipoishia akibebwa na squad bora
 
Kocha siku zote anabebwa na kikosi bora, ukiwa na kikosi bora ata ukimuweka boko awe kocha anaweza kufika mbali kwa maana iyo sioni yanga akiyumba zaidi ya kuendeleza pale alipoishia akibebwa na squad bora
Bro, kuunganisha kikosi sio kitu kidogo bro.
 
Back
Top Bottom