Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hapo ndio kauli ya rage inapoonyesha alikua sahihi,yan wachezaji wote hawq Yanga ikose wa kuwasajili š¤£Sasa utakuwa na mbwembwe gani wakati huna Cha kusajili[emoji16]
By the way namba 6 anasubiriwa. Hoi mbwembwe Ina mwezi sasa inatrend.