Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Imekua kero tena wakati mlianzisha wenyewe hahahh yani imeshakua brand mpk maduka yameandikwa lete mzungu hardware
Inamaana goli 1 ktk mechi 2 tu alizocheza Mzungu ndiyo awe maarufu kuliko Mandonga, si utani huu [emoji848][emoji4]
Internet cafe kaka usikalili nduguWewe ni LIONGO dah! Facebook ya wapi hiyo ulikuwa unatumia miaka hiyo na kwa simu gani?
Nyokooo! et mmehama! kwani mmehama kwa kupenda,si mlijua mnatukomoa kibao kimegeuka.stori yetu wana utopolo ni "lete mjapan wapi Geita Gold". hii "lete mzungu" wamebaki nayo mazuzu ya Makolo FC wakati si tushahama huko kitambo!
Sikweli infrared haikuwa na uwezo wa kushare intenet kutoka simu kwenda DESKTOP2009, 2010 blackberry bold then tulikuwa na nokia 6070 ina infrared tunaunganisha na desktop chogo tuna surf kwa desktop
Wewe ni mkikuyu?Mashabiki wa simba wana promote jina la mzungu mpaka mimi mwenyewe sasa naona aibu leo nilikuwa zangu FB na soma zangu comment za Wakenya kuhusu uchaguzi wao cha ajabu si nikakutana na comment ya mwana simba eti leta mzungu.
Nikacheki kwanza kichwa cha abari na alicho comment yule jamaa nikashangaa saana ila mwishowe Nikasema wapo kazini!
Cha kuwambia wana simba msiwe na hofu kama dejan ana nyota basi na amini kadiri siku zitakavyo zidi kwenda na ndivyo brand ya leta mzungu itazidi kuwa kubwa.
Ila tabia zetu ninyi za kutaka kujibrand mgongoni kwa wengine acheni.
Mbona mayele wa yanga yeye hakujibrand hivo mnavyo jibrandi kila sehemu watu wanaongeya mambo ya maana una andika leta mzungu
Usinambie ndugu IBILISIYupo sahihi, mm FB nimeanza kuitumia ht kabla haijaanzishwa
Bado unaendeleza mauongo yako?Internet cafe kaka usikalili ndugu
Sawa sikuambii ndugu ShetUsinambie ndugu IBILISI
umemaliza chief.Sikweli infrared haikuwa na uwezo wa kushare intenet kutoka simu kwenda DESKTOP
na infrared ilikuwa ilikuwa inatumika zaidi ni kutuma data simu kwa simu tena kwa kuzibandanisha yaan simu zigusane
Hakukuwa na DESKTOP yenye uwezo wa HARDWARE ya infrared zaidi tulikuwa tunatumia USB infrared na haikuwa inawork perfect
Nokia baadhi ya simu zllikuwa na uwezo wa kushare internet through CABLE kwa kutumia software ya PC SUITE View attachment 2336071View attachment 2336073View attachment 2336074
Account yako ya FB uliyoitengeneza 1992 ina jina hilihiliSawa sikuambii ndugu Shet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imekua kero tena wakati mlianzisha wenyewe hahahh yani imeshakua brand mpk maduka yameandikwa lete mzungu hardware
Sikumbuki vzr mana serve za FB zililipuliwa na bomu kipindi cha vita ya kwanza ya dunia hvy nlishindwa kuirudishaAccount yako ya FB uliyoitengeneza 1992 ina jina hilihili
Sasa ulitaka na sisi tuhe kwani sisi geita?stori yetu wana utopolo ni "lete mjapan wapi Geita Gold". hii "lete mzungu" wamebaki nayo mazuzu ya Makolo FC wakati si tushahama huko kitambo!