Simba na hii leta mzungu yao imekuwa kero sasa

Simba na hii leta mzungu yao imekuwa kero sasa

Haya kunyweni sumu mfe kabisa na mimavi yenu kwe sarawili zenu
 

Attachments

  • VID-20220820-WA0009.mp4
    6.2 MB
Hatujamalizaaaa
 

Attachments

  • IMG_20220824_200255.jpg
    IMG_20220824_200255.jpg
    74.2 KB · Views: 1
stori yetu wana utopolo ni "lete mjapan wapi Geita Gold". hii "lete mzungu" wamebaki nayo mazuzu ya Makolo FC wakati si tushahama huko kitambo!
Nyokooo! et mmehama! kwani mmehama kwa kupenda,si mlijua mnatukomoa kibao kimegeuka.
 
2009, 2010 blackberry bold then tulikuwa na nokia 6070 ina infrared tunaunganisha na desktop chogo tuna surf kwa desktop
Sikweli infrared haikuwa na uwezo wa kushare intenet kutoka simu kwenda DESKTOP
na infrared ilikuwa ilikuwa inatumika zaidi ni kutuma data simu kwa simu tena kwa kuzibandanisha yaan simu zigusane
Hakukuwa na DESKTOP yenye uwezo wa HARDWARE ya infrared zaidi tulikuwa tunatumia USB infrared na haikuwa inawork perfect

Nokia baadhi ya simu zllikuwa na uwezo wa kushare internet through CABLE kwa kutumia software ya PC SUITE
images%20(48).jpg
images%20(47).jpg
images%20(6).jpg
 
Mashabiki wa simba wana promote jina la mzungu mpaka mimi mwenyewe sasa naona aibu leo nilikuwa zangu FB na soma zangu comment za Wakenya kuhusu uchaguzi wao cha ajabu si nikakutana na comment ya mwana simba eti leta mzungu.

Nikacheki kwanza kichwa cha abari na alicho comment yule jamaa nikashangaa saana ila mwishowe Nikasema wapo kazini!

Cha kuwambia wana simba msiwe na hofu kama dejan ana nyota basi na amini kadiri siku zitakavyo zidi kwenda na ndivyo brand ya leta mzungu itazidi kuwa kubwa.

Ila tabia zetu ninyi za kutaka kujibrand mgongoni kwa wengine acheni.

Mbona mayele wa yanga yeye hakujibrand hivo mnavyo jibrandi kila sehemu watu wanaongeya mambo ya maana una andika leta mzungu
Wewe ni mkikuyu?
Ukuje kwa Simba usikie iko na kelele mingi "leta muzungu 😂😂
 
Mkuu lete Mzungu inakukelaje hata mwezi haina,hivi ungeboreka kiasi gani misimu minne hajabeba kombe kila akikosa anajiita bingwa wa kihistoria
na kuanza kufukua virecord vya kuunga
unga baada ya kubeba kombe kaenda kuanzia gari la kulibebea na kombe la
shirikisho mababu wa Yanga wakalivunja kila Chuma sehemu yake
kutokana na kulikosa muda mrefu ni zaidi ya kukalaisha.
 
Internet cafe kaka usikalili ndugu
Bado unaendeleza mauongo yako?
99% ya Watanzania wameanza kujiunga na Facebook kuanzia 2008 na tena ni wachache sana waliojiunga wakati huo account zao bado zipo active kwa sababu walikuwa wakitumia simu za BlackBerry.

Labda utuambie hiyo miaka 2000's specifically unamaanisha mwaka gani maana globally imeanza kutumika 2007
 
Sikweli infrared haikuwa na uwezo wa kushare intenet kutoka simu kwenda DESKTOP
na infrared ilikuwa ilikuwa inatumika zaidi ni kutuma data simu kwa simu tena kwa kuzibandanisha yaan simu zigusane
Hakukuwa na DESKTOP yenye uwezo wa HARDWARE ya infrared zaidi tulikuwa tunatumia USB infrared na haikuwa inawork perfect

Nokia baadhi ya simu zllikuwa na uwezo wa kushare internet through CABLE kwa kutumia software ya PC SUITE View attachment 2336071View attachment 2336073View attachment 2336074
umemaliza chief.
 
Imekua kero tena wakati mlianzisha wenyewe hahahh yani imeshakua brand mpk maduka yameandikwa lete mzungu hardware
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Account yako ya FB uliyoitengeneza 1992 ina jina hilihili
Sikumbuki vzr mana serve za FB zililipuliwa na bomu kipindi cha vita ya kwanza ya dunia hvy nlishindwa kuirudisha
 
stori yetu wana utopolo ni "lete mjapan wapi Geita Gold". hii "lete mzungu" wamebaki nayo mazuzu ya Makolo FC wakati si tushahama huko kitambo!
Sasa ulitaka na sisi tuhe kwani sisi geita?
 
Back
Top Bottom