Simba na Mbeya city zafuata nyayo za Baba yao Yanga

Simba na Mbeya city zafuata nyayo za Baba yao Yanga

Uchebe hataki kamati ya Ulozi ya kumfunga Yanga hapo January. Akajibiwa kuwa ile misimu miwili aliyochukua Ubingwa asidhani kuwa ni mchango wake hela za kuhonga timu pinzani na marefa ndio zimeleta Ubingwa.
Na club bingwa QF je ???
 
Mwambusi kama Zidane, alifikiri ule upepo wa wakati Mbeya city inapanda ungempitia! Uchebe na mikia wana visa vyao ambavyo labda sie hatuvijui! Kawapa ubingwa, kawafikisha robo fainali klabu bingwa Afrika na mpaka sasa wanaongoza ligi, afu wamemtimua!
Udimguze Zidane kabisa, Madrid ipo vizur saivi tofauti kabisa na fikra zako
 
Back
Top Bottom