Simba na Mbeya city zafuata nyayo za Baba yao Yanga

Uchebe hataki kamati ya Ulozi ya kumfunga Yanga hapo January. Akajibiwa kuwa ile misimu miwili aliyochukua Ubingwa asidhani kuwa ni mchango wake hela za kuhonga timu pinzani na marefa ndio zimeleta Ubingwa.
Na club bingwa QF je ???
 
Udimguze Zidane kabisa, Madrid ipo vizur saivi tofauti kabisa na fikra zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…