Simba sc ndio team pekee ambayo kikosi chake ni cha bei ghali ukilinganisha na club zote zinazoshiriki VPL msimu huu, lkn pamoja na kuwa kikosi hicho ni ghali, sio kweli kwamba kina ubora zaidi kuliko club zingine zinazoshiriki League hiyo, Simba baada ya kukosa ubingwa kwa muda mrefu wamekuwa wabunifu wazuri wa propaganda na hiki ndicho kinachotokea ktk club hii baada ya kuviteka baadhi ya vyombo vya habari ili kuipigia promotion club kwa lengo la kurudisha imani iliyopotea muda mrefu kwa mashabiki wa club hiyo.
Jana ilikuwa 1.3 Billion Vs 13 Million
Kama sio laana ni nini hii?
May be ni laana lakini Everton na Gor Mahia ya Sports Pesa ni USD Ngapi Vs Ngapi
Mwaka sikumbuki: Young Africans Vs West Bromwich Albion walicheza Dar, wakatoka sare USD Ngapi Vs Ngapi
1972 au 1973 : Aston Villa Vs Simba Sports Club walicheza Dar, walitoka 1-1. USD Ngapi Vs Ngapi
Cameroun kina Roger Mila World Cup Vs Argentina USD Ngapi Vs Ngapi
SIMBA Vs SUPERSPORT, ZAMALEK etc. USD Ngapi Vs Ngapi
Soccer ndiyo ilivyo!
Unataka kuhalalisha bangi kwa kisingizio kuwa ni dawa...ππ
Kichura wa kuchuriwa na Hanuni NiyompariTanzania one Aisha wakumanua
Binafsi nadhani ni mapema sana kuanza kutoa utabiri wa UBORA wa kikosi ghali cha simba sports club kutokana na ligi kuwa ktk duru za mwanzo kbs... [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ndio kwanza ligi kuu TANZANIA bara ipo ktk duru la nne mzunguko wa kwanza... [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] tusubiri kuchanganya kwa ligi... Si unajua kuna baadhi ya clubs bado zina nguvu ya soda na hizi ni mbio ndefu.... Mwisho wa yote tutamjua mwenye pumzi [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Simba sc ndio team pekee ambayo kikosi chake ni cha bei ghali ukilinganisha na club zote zinazoshiriki VPL msimu huu, lkn pamoja na kuwa kikosi hicho ni ghali, sio kweli kwamba kina ubora zaidi kuliko club zingine zinazoshiriki League hiyo, Simba baada ya kukosa ubingwa kwa muda mrefu wamekuwa wabunifu wazuri wa propaganda na hiki ndicho kinachotokea ktk club hii baada ya kuviteka baadhi ya vyombo vya habari ili kuipigia promotion club kwa lengo la kurudisha imani iliyopotea muda mrefu kwa mashabiki wa club hiyo.
Tangu mbao FC wapande Daraja la kushiriki michuano ya ligi kuu TANZANIA bara, wamekutana na simba sports club mara nne.... Mara mbili ligi kuu msimu wa mwaka 2016/2017 mbao FC alifungwa mara mbili (home and away games) na fainali ya kombe la shirikisho mjini DODOMA.... Na mara ya nne ni kwenye ligi kuu TANZANIA bara msimu wa mwaka 2017/2018 ambapo mbao FC akiwa ccm kirumba alisuluhu dhidi ya simba sports club.... [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi kumbe Simba inatakiwa kushinda mechi zote? Hiyo imewwzekana kwa timu gani duniani?
Zaidi ya yote, Mbao FC ime-prove kuwa timu ngumu kwa Simba na Yanga, sikumbuki ni timu gani kati ya hizo ziliziifunga Mbao kwenye mechi zote mbili msimu uliopita.
Vv
Gor Mahia in the middle of their league na Everton first preseason game. Note the difference MheshimiwaMay be ni laana lakini Everton na Gor Mahia ya Sports Pesa ni USD Ngapi Vs Ngapi
Mwaka sikumbuki: Young Africans Vs West Bromwich Albion walicheza Dar, wakatoka sare USD Ngapi Vs Ngapi
1972 au 1973 : Aston Villa Vs Simba Sports Club walicheza Dar, walitoka 1-1. USD Ngapi Vs Ngapi
Cameroun kina Roger Mila World Cup Vs Argentina USD Ngapi Vs Ngapi
SIMBA Vs SUPERSPORT, ZAMALEK etc. USD Ngapi Vs Ngapi
Soccer ndiyo ilivyo!