Simba na Yanga acheni kutumika vibaya, kuibeba CCM, sasa hii "Watoto wa Mama" ya nini?

Simba na Yanga acheni kutumika vibaya, kuibeba CCM, sasa hii "Watoto wa Mama" ya nini?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kuna ajenda gani kati ya Rais Samia na Vilabu vya Simba na Yanga?, Wanatumika kisiasa na kufanya kampeni kabla ya wakati

Kuna namna CCM wanawatumia hawa wasemaji wa vilabu hivi pendwa nchini kujinufaisha kisiasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi, badala ya kuwekeza nguvu kwenye miradi ya maendeleo na kugusa maisha ya watu wa chini wakidhani labda kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi ndio kujizolea mashabiki wao, siku hizi mambo yamebadilika, watu wanauelewa kwani kinachotakiwa ni kubadili maisha moja kwa moja ya wananchi.

464288921_851511167067483_7535542892472155945_n.jpg

Sasa hivi vilabu hivi vimekubali kubeba ajenda za kisiasa hadi kufikia hatua wana print picha ya Rais Samia kwenye T-Shirt zao zikiwa na maneno eti “Watoto wa Mama”, haya mambo sidhani kama yana impact zaidi ya kuleta mpasuko tu wa mashabiki. Kiongozi kama ni mtendaji mzuri haina haja ya mbwembwe hizi ili kupata watu au kura.
464288921_851511167067483_7535542892472155945_n.jpg
Pia, Soma:
+
Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii
 
Kuna ajenda gani kati ya Rais Samia na Vilabu vya Simba na Yanga?, Wanatumika kisiasa na kufanya kampeni kabla ya wakati

Kuna namna CCM wanawatumia hawa wasemaji wa vilabu hivi pendwa nchini kujinufaisha kisiasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi, badala ya kuwekeza nguvu kwenye miradi ya maendeleo na kugusa maisha ya watu wa chini wakidhani labda kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi ndio kujizolea mashabiki wao, siku hizi mambo yamebadilika, watu wanauelewa kwani kinachotakiwa ni kubadili maisha moja kwa moja ya wananchi.
Sasa hivi vilabu hivi vimekubali kubeba ajenda za kisiasa hadi kufikia hatua wana print picha ya Rais Samia kwenye T-Shirt zao zikiwa na maneno eti “Watoto wa Mama”, haya mambo sidhani kama yana impact zaidi ya kuleta mpasuko tu wa mashabiki. Kiongozi kama ni mtendaji mzuri haina haja ya mbwembwe hizi ili kupata watu au kura.
Pia, Soma:
+
Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii
Wewe unaumia nini ikiwa hivyo?
 
Kuna ajenda gani kati ya Rais Samia na Vilabu vya Simba na Yanga?, Wanatumika kisiasa na kufanya kampeni kabla ya wakati

Kuna namna CCM wanawatumia hawa wasemaji wa vilabu hivi pendwa nchini kujinufaisha kisiasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi, badala ya kuwekeza nguvu kwenye miradi ya maendeleo na kugusa maisha ya watu wa chini wakidhani labda kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi ndio kujizolea mashabiki wao, siku hizi mambo yamebadilika, watu wanauelewa kwani kinachotakiwa ni kubadili maisha moja kwa moja ya wananchi.
Sasa hivi vilabu hivi vimekubali kubeba ajenda za kisiasa hadi kufikia hatua wana print picha ya Rais Samia kwenye T-Shirt zao zikiwa na maneno eti “Watoto wa Mama”, haya mambo sidhani kama yana impact zaidi ya kuleta mpasuko tu wa mashabiki. Kiongozi kama ni mtendaji mzuri haina haja ya mbwembwe hizi ili kupata watu au kura.
Pia, Soma:
+
Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii
Hela hela hela!
Inasumbuwa..
 
Watoto Wa Baba...!!!,,Tunatengwa Mnoo ama Tunajitenga mnoo??
 
Siasa zilianza pale waliposema eti Timu za X &Y zilitumika kudai Uhuru


Mifumo ya Siasa kwenye hii Nchi ni migumu mno, imagine Wasemaji wa hivyo vilabu vikubwa wanapanda majukwaani huko UVCCM akiwa na Sare za Chama, baada ya hapo anajigeuza kuwa Msemaji Tena wa Timu 🙌
 
Wqjameni soka bongo labda kwa ajili ya kuburudika, kufurahi na wadau, kutaniana na kuondoa msongo wa mawazo kwa wanaopenda soka ila zaidi ya hapo faida ni ndogo sana na wananufaika wachache mno.

Soka inawapumbaza na kuwafanya watu wawe mambumbumbu washindwe kuhoji na kufuatilia mambo ya msingi.

Nafurahi sana na ku enjoy kuona watu wakitaniana na kuchambua kuhusu michezo ila wanashindwa kuzungumzia mambo muhimu yenye masilahi na faida kwao.
 
Siasa zilianza pale waliposema eti Timu za X &Y zilitumika kudai Uhuru


Mifumo ya Siasa kwenye hii Nchi ni migumu mno, imagine Wasemaji wa hivyo vilabu vikubwa wanapanda majukwaani huko UVCCM akiwa na Sare za Chama, baada ya hapo anajigeuza kuwa Msemaji Tena wa Timu 🙌
Shida ilianzia hapo ndio maana kila mmoja anaona alidai uhuru kutoka kwa mabeberu
 
Huu Uzi usimfikie kijana mkubwa wa Mama Lucas Mwashambwa maana utajuta kuzaliwa Kwa kumsimanga mama yake!

Bora hata huyo kijana mkubwa Lucas Mwashambwa ,omba usikutane na kitinda mimba wa mama aitwaye MamaSamia2025 nakwambia utakiona chamoto!
😀 😀 Wawafikishie taarifa ndani ya chama chao kuwa waachane na hao wanaoitwa Internet celebrity, hela wapeleke vijijini huko watu wanataabika na maisha, siku wakiamka huko watakosa kura zao
 
Hata simba wanatumika angalia mechi zao utaona mabango ya Rais Samia kibao tu
Sasa hapo wanatumikaje? Mabango ya Samia si hata mechi za Namungo unayaona? Hadi ndondo cup yapo. Kwamba ilitakiwa Simba ipige marufuku shabiki kuingia na picha ya raisi uwanjani? Kwanza picha ya Samia kila ofisi ukiingia unaikuta.
 
Back
Top Bottom