Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.................hapo hapo tunaambiwa Vyama vya TAA na ASP baadaye TANU ndivyo vilivyodai Uhuru.Shida ilianzia hapo ndio maana kila mmoja anaona alidai uhuru kutoka kwa mabeberu
Hapo ndio umeongea nini?Naumia kuona wameshindwa kuwekeza nguvu kwa wananchi wa hali ya chini na kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi kujinufaisha, waweke nguvu kwa wananchi wa hali ya chini
Mmezuiwa kuzitumia?Kuna ajenda gani kati ya Rais Samia na Vilabu vya Simba na Yanga?, Wanatumika kisiasa na kufanya kampeni kabla ya wakati
Kuna namna CCM wanawatumia hawa wasemaji wa vilabu hivi pendwa nchini kujinufaisha kisiasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi, badala ya kuwekeza nguvu kwenye miradi ya maendeleo na kugusa maisha ya watu wa chini wakidhani labda kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi ndio kujizolea mashabiki wao, siku hizi mambo yamebadilika, watu wanauelewa kwani kinachotakiwa ni kubadili maisha moja kwa moja ya wananchi.
Sasa hivi vilabu hivi vimekubali kubeba ajenda za kisiasa hadi kufikia hatua wana print picha ya Rais Samia kwenye T-Shirt zao zikiwa na maneno eti “Watoto wa Mama”, haya mambo sidhani kama yana impact zaidi ya kuleta mpasuko tu wa mashabiki. Kiongozi kama ni mtendaji mzuri haina haja ya mbwembwe hizi ili kupata watu au kura.
Pia, Soma:
+ Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii
Hizo ni personal issues wala haihusiani na club kama na wewe unahitaji kufanya hivyo endelea tu ni mapenzi yako bwana.Wapeleke hizo hela huko vijijini wakawaboreshee maisha, huko ndiko wana wapiga kura kuliko kufanya hivi
😂😂 tutafika tumechoka sanaHahaha.................hapo hapo tunaambiwa Vyama vya TAA na ASP baadaye TANU ndivyo vilivyodai Uhuru.
Huku tena tunaambiwa Vilabu vya Simba na Yanga vilitumika kudai Uhuru
Baadaye tena wanajitokeza Wazee wa DSM wakisema wao ndiyo walidai Uhuru 🙌
Kilichotokea sijui nachojua alipewa mwaliko kama Rais wa nchi.Baada ya hapo nini kilitokea?
Huu ni usengerema kabisa kwa vilabu hivi vya Kariakoo.Kuna ajenda gani kati ya Rais Samia na Vilabu vya Simba na Yanga?, Wanatumika kisiasa na kufanya kampeni kabla ya wakati
Kuna namna CCM wanawatumia hawa wasemaji wa vilabu hivi pendwa nchini kujinufaisha kisiasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi, badala ya kuwekeza nguvu kwenye miradi ya maendeleo na kugusa maisha ya watu wa chini wakidhani labda kutumia watu wenye nguvu ya ushawishi ndio kujizolea mashabiki wao, siku hizi mambo yamebadilika, watu wanauelewa kwani kinachotakiwa ni kubadili maisha moja kwa moja ya wananchi.
Sasa hivi vilabu hivi vimekubali kubeba ajenda za kisiasa hadi kufikia hatua wana print picha ya Rais Samia kwenye T-Shirt zao zikiwa na maneno eti “Watoto wa Mama”, haya mambo sidhani kama yana impact zaidi ya kuleta mpasuko tu wa mashabiki. Kiongozi kama ni mtendaji mzuri haina haja ya mbwembwe hizi ili kupata watu au kura.
Pia, Soma:
+ Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii